Pasco, tusaidie tuache kuwa watabiri na kufanya mambo kisayansi. Kwa kuanzia, unaweza kututajia namba za hayo magari... hizo zinazoanzana W na NW... ili tujue ni watu wa aina gani wanaweza kuwa ndio waliohuidhuria kikao hicho. Baada ya hapo, tunaweza kuanza 'kufikiri' kwa mwanga kidogo
Panya dawa yake sumu, aingiapo nyumbani,
Kumsaka ni muhimu, hata akiwa darini,
Kumuacha akidumu, tutabaki kilioni,
Yamini wanayokula, wale wao sio sisi
Badala ya kutumia tukio hili kuongeza uhasama, CCM na Chadema wanaweza kutumia mkusanyikohuo kujenga utamaduni wa kufanya siasa bila kupigana kwa sababu kifo hiki cha Mzee kinaonyesha kuwa watanzania tu watu wamoja
Sasbu nyingine kubwa ni uongozi mbovu... hayo uliyoyaorodhesha yanaweza kutatuliwa kwa rasilimali hizi hizi tulizonazo lakini unatakiwa uongozi mzuri tu
Ili kuhalalisha kumsulubu PM, Zitto alitoa hoja hii:
Mheshimiwa Naibu Spika, mwisho. Tatizo kubwa la Taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali kutokutekelezwa ni ukosefu wa uwajibikaji; na kama nchi hii tunataka tuendelee, kama tunataka tupigane kwa dhati kabisa dhidi ya...
Mbunge anatakiwa kuwasilisha hoja ya kudhamiria kutoa hoja ya kutokuwa na imani na PM akiwa ameambatanisha na saini za asilimia 20 ya wabunge wote. Iwapo mjadala ukifika bungeni utaamriwa kwa kura za siri na inabidi ipatikane zaidi ya asilimia 50 ya kura za wabunge wote ili kumwondoa PM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.