Nyamizi
Platinum Member
- Feb 19, 2009
- 9,189
- 13,728
Haswaa mkuu na mimi natamani huyo mgeni aje kwenye kipindi ili ajibu maswali yetu na siyo kujirecord na kutuwekea ujumbe km mahubiri ya Mchungaji yasiyotoa nafasi ya kuhojiwa.Safi sana Fina Mango nakukubali sana since day one ukianza mziki kwa kushirikiana na GK(Mama),pili kipindi chako kizuri kinabamba pia wekeni live stream kwenye website tuwe tunapata online(sometime tunakua nje ya nchi),keep doin JF luv ya'
Fanyeni mpango mumlete Irene wa SSRA tumuulize maswali ya msingi.