Recent content by Peter Ngenda

  1. P

    Nafasi za kazi

    They can apply also if they need.
  2. P

    Nafasi za kazi

    Kilimo wazuri hasa kwenye mikopo ya wakulima na wafugaji ukiongeza na elimu tunayotoa wanakuwa safi sana. Niwaombe kama wapo wombe watafurahia kazi.
  3. P

    Nafasi za kazi

    Native Microfinance inatafuta watu wanaofahamu vizuri kazi za solidlity group lending kufanya kazi hizo katika ofisi zetu za kanda. Wanahitajika watu wenye uzoefu huo walau miaka mitatu, elimu inayotakiwa diploma au digrii katika fani za biashara, kilimo, nk. Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 10...
  4. P

    Wanahitajika watu wenye uzoefu wa kusimamia mikopo ya vikundi

    Kwa sasa hizi nafasi ni nyingi sana kupata wasomi wengi kiasi hicho sidhani kama inawezekana kwa haraka. Ila kama mtu amewahi kufanya kazi hizo tunampa mafunzo ya nyongeza anafanya vizuri kuliko msomi sana. Yeyote atume CV
  5. P

    Nafasi za kazi za kusimamia mikopo ya vikundi

    Tupe contact zako tukutembelee kufahamu mahitaji yao
  6. P

    Nafasi za kazi za kusimamia mikopo ya vikundi

    Tasisi Native Microfinance inataka kuajili watu wa kufanya kazi ya kutoa navkusimamia mikopo katika vikundi vya wajasiliamali maeneo ya mijini na vijijini. Hivyo watu wenye uzoefu na ufahamu mzuri wa kutoa na kusimamia mikopo ya vukundi waombe kwa kutuma CV kwa afisa ajira, email...
  7. P

    Wanahitajika watu wenye uzoefu wa kusimamia mikopo ya vikundi

    Tasisi ya Native Microfinance iliyopo Dar es salaam, inatafuta watu wenye uzoefu wa kutoa na kusimamia mikopo ya vikundi vya wajasiliamali mijini na vijijini. Mtu yeyote mwenye uzoefu wa kazi hiyo atume CV yake kwa afisa utumishi email: peterbensonngenda@gmail.com.
  8. P

    Natafuta mbia(Business partner)

    Mkuu mimi nataka nifike site kuona mradi unaoweza kulipa, tuwasiliane 0756 960 231
  9. P

    Natafuta wataalamu na wauzaji wa software za microcredit

    Jamani naombeni kufahamu wataalamu wanaoshugulika au kuuza software za mambo yanayohusu mifumo ya kusimamia mikopo midogo midogo ya vikundi na watu binafsi. Kama hapa tanzana wanapatikana tunaoma tunaomba majina na maeneo wapopatikana.
  10. P

    Wauzaji wa software za microcredit

    Wadau naomba kufahamu wauzaji wa software za microcredit hapa tanzania, wanaitwaja na wanapatikana wapi?
  11. P

    Microfinance/ Microcredit business consultant required urgently

    Please we are looking for a compitent consultant for preparation of comprehensive business plan for operating microfinance/microcredit in Tanzania. This is an urgent assignment need to be attained within a period of three months. It will be cntractual based assignment to the qualified person...
  12. P

    Natafuta Gari ya kununua (DEAL DONE)

    Nataka gari ninayo 5 mn nijulishe kama imekaa sawa
  13. P

    Natafuta kazi pharmacy

    Mkuu upo mji gani na unapenda kufanya kazi wapi, kazi hizo zipo maeneo tofauti tofauti.
  14. P

    Natafuta kazi jamani

    Tiuma cv na vyeti kwa 0744353545 tutafute sehemu ujishikishe wakati unajipanga.
  15. P

    Ajira ngumu naombeni kazi jamani ata kwa mshahara wa laki na nusu

    Tupe uzoefu au fani yako tukupe kazi, kampuni kibao zinatafuta watu wa kuzalisha mali. Tuma details zako kwa 0744353545
Back
Top Bottom