wameumizwa wa diploma ila wa A level cjaona cha maana kilichofanyika...... na sasa nimetambua mtu aliemalza diploma akapata GPA ya 3.5 ni sawa na mwenye one form six...... hongereni sana mliotoka diploma na kufikia GPA ya 3.5 kwenda juu you guys are real genius
Habari zenu ndugu jamaa na marafiki..
Mimi nasumbuliwa na tumbo kwa muda mrefu sasa linabana sana kwa juu karibu na maungio ya mbavu ...
Ninaomba msaada nitumie tiba gani na inaweza kuwa ugonjwa gani kwasababu kila nikipima naambiwa amiba mala minyoo...
Kwa mwanzoni kuna daktari mmoja...
hata izo post zinazozunguka mitandaon hazisemi watakaoenda degree wenye diploma hawatapewa mkopo bali wale walio na ufaulu wa chini ya GPA 3.3 ambao pia wataenda kusoma io special diploma ndio hawatapewa mkopo wakiwa wanasomea io diploma bali watapata punguzo la ada lakin wenye sifa za kujiunga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.