shaurimbaya
JF-Expert Member
- Oct 3, 2013
- 1,915
- 2,326
mzumbe asilimia kubwa ya walimu ni watoto wa maprofesa...
mkuu wa chuo aliyepita prof kuzilwa mke wake alikuwa director wa library, kuna mwingine mkuu aliepita warioba mtoto wake alikuwa hapo na mkewe pia wote staff wa mzumbe..
kuna mwingine komunte nae mtoto wake hapo hapo...
mzumbe kama baba yako ni prof pale hata ukiwa kilaza unaweza ukajikuta umekuwa lecture na wewe pale.pale
mkuu wa chuo aliyepita prof kuzilwa mke wake alikuwa director wa library, kuna mwingine mkuu aliepita warioba mtoto wake alikuwa hapo na mkewe pia wote staff wa mzumbe..
kuna mwingine komunte nae mtoto wake hapo hapo...
mzumbe kama baba yako ni prof pale hata ukiwa kilaza unaweza ukajikuta umekuwa lecture na wewe pale.pale