Yap Yap,, ujue Tz kuna wakulima wengi lakn wanalima kwa mazoea na si kitaalamu, , that's why mchango wa kilimo kwenye pato la taifa unazidi kudorora siku hata siku
Pia ningeshawish wakulima wajiunge kwny vikundi vidogovidogo ili niwakopeshe rasilimali fedha na zana za kisasa za kilimo waachane na kilimo cha jembe la mkono na kutegemea mvua. ..hii yote ni kwasabab kwa Tz kilimo ndo uti wa mgongo
kilimo bora kinachangia kwa kiasi kikubwa uchumi wa nchi yetu! !
Mara paaaap mi ndo gates mwenyewe,,,
Ningefufua viwanda vidogovidogo kama MWATEX n.k ili kuongeza nafasi za ajira kwa Watz
Vlevle kuendana na kauli mbiu ya mkulu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.