Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,924
- 95,729
Acha upumbafu wewe. Kama huelewi naamisha nini kalale saa hizi ni usiku.Naelewa..mkeo lazima akuvutie kimapenzi, sasa kama hakuvutii inashangaza
Acha utani wa ngumi basiMara 1 kwa wiki
Mi mwenyewe nashangaaHaina kupanga, hata kila siku poa
ha ha haaaa,ndiyoHata kama yupo Mwanza na wewe upo Iringa?![]()
AsanteAcha upumbafu wewe. Kama huelewi naamisha nini kalale saa hizi ni usiku.