Pole sana ndugu yangu....mtu ambae hajawai kua na mtu wa aina hii kwenye familia hawezi kukuelewa...
Huyo haiitaji mwana saikolojia wala sobber house kwa sabab chanzo Cha tatizo kiko ndani ya familia na mama anajua vzur ...
Baada ya kijana kufanikiwa ndugu walipambana kumuaribu akili ili...
Tunajadili Mambo ya islael na India..huku wandengereko,wamakonde,wasukuma na wachaga ..wanatukanana wenyewe kwa wenyewe...
Huu ni utumwa wa kifikira ..
Low IQ mindset..
Poor thinking capacity...
Letani fact tujadili ..mnaendelea kutukanana wakati Babu zenu wote walikua wanaabudu mizimu....
Una shule kubwa Sana kaka,na umeinvest muda wako kwenye shule
Ngoja niishie hapa ndugu yangu sina wakili wa kunitetea...
Ila all in all Mungu ataweka nuru yake..
Jamii forum ni home of great thinker..
Humu kabla ya kuchangia hua tunafanya analysis kama great thinker..
Hapa sisi tutaangalia risk benefit ratio.
Risk ya kuendesha gar kwa speed Kali ni kubwa kuliko benefit yake...
Wewe ni kijana mwenzetu acha kuendesha gari kwa speed kwa sabab bado...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.