Recent content by periodic table

  1. P

    Kifo cha Kanumba: Ni uzembe tu? Sio Lulu!

    Kifo ni fumbo...zingine zote ni sababu tu Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  2. P

    Picha: Uchawi upo aisee

    Umenikumbusha mbali mkuu hiyo ndio mitaa niliokulia na kucheza mpira Sana . Yule bibi watu walimfanyia ambush wakamkatakata na mapanga na ikawa mwisho wa story yake Kwan yalikua maelekezo maalum baada ya kushindikana... Watu walishindwa kubomoa kijumba chake Cha udongo kilicho barabaran...
  3. P

    Kwanini Papa Francis anawaandalia watoto na wajukuu SODOMA? Kwa nini hakuonyesha huu msimamo wake ujanani? Bado anabaki kuwa mtakatifu?

    Kuna vitu vingi vya kujifunza aisee... Ndugu zangu tuenzi Mila na desturi za mababu zetu... Hawa mabeberu wana jambo lao
  4. P

    FT: Madeama 1-1 Yanga | CAFCL | Baba Yara Sport Stadium | 08.12.2023

    Hyu refa Hana vgezo vya kuchezesha mechi kubwa Kama hiii Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  5. P

    Wanawake wengi wamejigeuza bidhaa tuishi nao kwa akili

    Huu Uzi ni mkubwa kuliko akili za watu wengi Sana humi jf.. Asante kwa maono ..great thinker Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  6. P

    Mpenzi wangu amenizuia kwenda kwake, naombeni ushauri

    Una uhakika ni mchumba wako?? Kimbia haraka sana Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  7. P

    Nachukia sana vijana wenzangu wa ovyo

    Fact... Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  8. P

    Nachukia sana vijana wenzangu wa ovyo

    Safi Sana aiseee...hyu mtoto ni mother kind kabisaaaa...wife materialistic Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  9. P

    Nachukia sana vijana wenzangu wa ovyo

    Bro..we oa..mengine yatakuja tu... Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  10. P

    Nachukia sana vijana wenzangu wa ovyo

    Just imagine kijana kajaliwa pesa, kazi nzuri, elimu nzuri na maisha mazuri lakini bado mtu haoi mwanamke na kuanzisha familia bora. Vijana wenzangu taifa linaitaji familia iliyo bora kwani ndio msingi wa malezi na kizazi imara chenye misingi thabiti. Nasisitiza tuoeni vijana na wale wenye...
  11. P

    Tunamshukuru Wema Sepetu Kujisifia kuwa sasa kaacha Kunywa Pombe, ila mkumbusheni hajatuambia kuhusu Bangi kama nayo kaiacha au hatoiacha Abadan?

    Dunia Ina vitukoa Sana ...mwanamke unavuta bangi ili iweje ??? Ugundue nn??? Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  12. P

    Chid Benz: Hii Dunia hakuna Mungu

    Sound great..MUNGU NI PENDO.. NO LOVE NO GOD...that's all Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  13. P

    Mwakinyo agomea kupanda ulingoni

    Kama wanamichezo wangekua wanajielewa kama hyu jamaa ...tasnia na professional mbalimbali zingekua mbali Sana... Nice work brother ...simamia maslahi yako na usikubali kupelekwa Kama mzigo ... Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  14. P

    Hukumu ya bandari Mbeya yamuibuwa mwanazuoni mbobezi wa IGA duniani Johanne Poirier

    Aiseee Kuna watu wamekula shule dunia hiii.. Aya tuambie amesema nn Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  15. P

    Uzinduzi wa Jengo la Kituo cha Polisi cha Gallapo cha Milioni 62

    Safi kwa usalama wa raia na Mali zao Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom