Umenikumbusha mbali mkuu hiyo ndio mitaa niliokulia na kucheza mpira Sana .
Yule bibi watu walimfanyia ambush wakamkatakata na mapanga na ikawa mwisho wa story yake Kwan yalikua maelekezo maalum baada ya kushindikana...
Watu walishindwa kubomoa kijumba chake Cha udongo kilicho barabaran...
Just imagine kijana kajaliwa pesa, kazi nzuri, elimu nzuri na maisha mazuri lakini bado mtu haoi mwanamke na kuanzisha familia bora.
Vijana wenzangu taifa linaitaji familia iliyo bora kwani ndio msingi wa malezi na kizazi imara chenye misingi thabiti.
Nasisitiza tuoeni vijana na wale wenye...
Kama wanamichezo wangekua wanajielewa kama hyu jamaa ...tasnia na professional mbalimbali zingekua mbali Sana...
Nice work brother ...simamia maslahi yako na usikubali kupelekwa Kama mzigo ...
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.