Miaka ya 1997 anikimkuta mwalimu Mhema pale aka magulu pande hua siachi kumkumbuka na kucheka sana alikua ana miguu imepinda balaa kwaajil ya funza sa akiingia darasan lazima uchek aic!kwao kulikia mufindi
Haha ss ww huenda tunafahamiana mi too nimesoma idetero na teacher ndelwa na mboko zake!haha kina mvinge fungo,mbala je?haha!!nye kamwene!!naskia siku hiz kumepwaya kweli ngoma imeondoka na wengi!!ila ndelwa kastaafu kahamia mafinga!
Mimi nimeishi mufindi viwanda vya chai kule na nimesomea huko shule ya msingi idetero iko kata ya mtwango!!na nikasima mwembetongwaz kwa mwak mmoja!!dah maisha ya Iringa ni full burudan kwakwel hua nataman nirud nikakae tena na wahehe
Mimi nilikia nakula nikaacha nikaanza kuhis kizunguzungu baada ya maswali nilokua najiuliza walipomuuliza waandishi wa habari nikapata nguvu mpya mnooo!!nenda Dk wa mihogo tulikupenda lakini mi CCM imekupenda zaid
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.