Katika lugha ya kiswahili,kuna aina ya maneno inaitwa NOMINO.....nomino imegawanyika katika makundi au aina kuu nne....ya kwanza ni nomino za PEKEE, ya pili ni nomino za KAWAIDA, ya tatu ni nomino za jamii na ya nne ni nomino dhahania....sasa neno Mungu linaangukia katika aina ya kwanza yaani...
Hujui taratibu za utumishi wa uma ndio maana umeandika upuuzi wako.Kwenye utumishi wa uma hatuongozwi na maneno ya kwenye TV, maandishi rasmi ni muhimu sana.Hatuna barua barua rasmi zinazonesha kuwa tutapandishwa mwezi huu wa saba.Fikiri vizuri kabla ya kutusi walim wanao ishi kwenye mazingira...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.