Recent content by Penda91

  1. P

    Majimbo 11 Ambayo UKAWA Wasipoteze Fedha Washapita

    Mkuu hata Siha Mwandry anapumulia Mashine hawezi kushinda Hili naomba liingie kwenye list nina uhakika sababu nipo huku na ni mzaliwa wa huku.
  2. P

    TCU/NACTE application 2015/2016 for undergraduate

    Daah nmekosea nkalipa Nacte instead of Tcu wakuu msaada plz
  3. P

    TCU/NACTE application 2015/2016 for undergraduate

    Wakuu nmefanya Malipo kupitia M Pesa ili niweze kufanya application kupitia Kamisheni ya vyuo Vikuu lakin sipatiwi Payment Id or vocher msaada cha kufanya kwa anaefahamu
  4. P

    TCU/NACTE application 2015/2016 for undergraduate

    Wakuu nisaidieni nmetuma malipo via M pesa but sijapata token kutoka Tcu nafanyaje?
  5. P

    Mada maalum kwa wapenzi wa Tamthilia ya Isidingo

    Akafie Mbele huyu Zaki
  6. P

    Pedeshee maarufu kumuoa mtangazaji wa kiume

    Ben bhana ndo yupogo kimchelemchele
  7. P

    Msaada

    Wanajukwaa Habarini Najitokeza kuuliza kwa yoyote anaejua kama kuna uwezekano wa kurecover losted form 4 certificate kutoka NECTA na document wanazohitaji kama zipo Asanten.
Back
Top Bottom