Recent content by pembe za ndovu

  1. P

    Julius Mtatiro: Nimeona vijana wa bwana yule wanaojiita viongozi wa CUF kunifuta uanachama, hawawezi bado ni kiongozi

    Mtatiro nakukumbuka ulivyokuwa ukisafiri na Prof Lipumba visiwani Rufiji na Kibiti, kwa kweli nitakumis sana baada ya kufukuzwa Uanachama. Ndugu yangu bai bai nakushauri ujiunge na chadema kwa sasa maana hueleweki upo chama gani kwa sasa. Waliokufukuza wapo sahihi sana kwa heri kwa mara nyingine
  2. P

    Here comes Daudi Albert Bashite

    Acheni Majungu Makonda baba piga kazi lengo lako wenye uelewa tunalielewa. wewe ni mtetezi wa wanyonge. Mahakama ndiko huko kunakolalamikiwa
  3. P

    Update nafasi za kazi za UCSAF

    Hii noma kwa kweli hata mie niliomba nchi hii hatari kila kitu tayari?
  4. P

    ITV mmekuwa zilipendwa. Azam imewapiga bao la kisigino

    tv ya migogoro ya wakulima na wafugaji
  5. P

    Upinzani wa vyama vya siasa vya upinzani ni aibu

    upinzani wa vyama vya siasa na ubinafsi wa Chadema kutaka kuongoza kuanzia ngazi ya kitongoji,kijiji,kata na ubunge kunanipa imani kuwa ccm itatawala milele. Chadema inabidi wakati mwingine muwaachiwe wenzenu wa Upinzani ambao wanakubalika katika baadhi ya maeneo lakini mmekuwa wagumu sana...
Back
Top Bottom