Mtatiro nakukumbuka ulivyokuwa ukisafiri na Prof Lipumba visiwani Rufiji na Kibiti, kwa kweli nitakumis sana baada ya kufukuzwa Uanachama. Ndugu yangu bai bai nakushauri ujiunge na chadema kwa sasa maana hueleweki upo chama gani kwa sasa. Waliokufukuza wapo sahihi sana
kwa heri kwa mara nyingine
upinzani wa vyama vya siasa na ubinafsi wa Chadema kutaka kuongoza kuanzia ngazi ya kitongoji,kijiji,kata na ubunge kunanipa imani kuwa ccm itatawala milele. Chadema inabidi wakati mwingine muwaachiwe wenzenu wa Upinzani ambao wanakubalika katika baadhi ya maeneo lakini mmekuwa wagumu sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.