Mwaka juzi kagera sugar, mwaka jana kagera shuga ala! Watoto wadogo mtusumbue kila uchao. Safari hii mmekula za uso mkalale huko! Hadi ndizi leo zitawashinda kula. Nyaambaf!!
Mkuu unafikiri wale masheikh hawana elimu hiyo unayoipenda wewe? Ni watu na elimu zao. Wana elimu ya dini na hiyo elimu unayoisisitiza wewe pia wanayo. Miongoni mwao kuna injinia wa ndege n.k.
Mkuu kwani mimi nimesemaje? Mbona nayajua yote hayo uliyoeleza. Hapo nimejaribu kufananisha yaliyotokea Iraq 2003na yale ambayo yangekuja kutokea iwapo Marekani itaipiga Iran.
Vita ya Marekani kwa Iraq ya kumtoa madarakani Sadam mwaka 2003, ilisababisha maisha magumu sana. Hata hapa Tz tulisaga meno sana. Hela ilikuwa ngumu sana
Sijasoma uzi wako. Lakini Iran huenda ikasababisha hali ngumu zaidi duniani. Kuishambulia Saudi (visima vya mafuta) nyuma ya mgongo wa Khuth kule Yemen. Marrkani nayo ...............
Mi natafuta lile tangazo la vodacom kuongea kwa sekunde ' abiria anamwambia kondacta wake atalipa sh 75 badala ya 150 kutoka posta hadi moroco. Analipia kwa sekunde!
Azam TV wangetuambia wanataka nini tufanye kunapokuwa na mechi muhimu. Na sio kuchomoa betriii dakika za mwisho kwenye Chanel husika. Jee wanataka tulipie app yao? Waweke utaratibu tuuelewe. Azam TV lioneni hili tafadhali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.