Kuonana na viongozi wa dini ni shauri mbovu zinazoshauriwa kwa wengi.Viongozi hao wa dini nao wana matatizo lukuki ndani ya ndoa zao watawezaje kutatua changamoto za wengine?
Mwanaume halisi maamuzi huyatoa bila kuogopa ama kufikiria kuwa jamii yaweza kukutenga.Huyu kiumbe aliyeelezewa na huyu...
Akiwa mama ana mapenzi makubwa kwa watoto wake hususani wa kiume.
Hapendi kuona watoto wake wakipata shida.Hujitaidi kuhakikisha kuwa watoto wanakuwa na furaha kwa kadiri atakavyoweza.Upendo anaouonesha mama kwa watoto huwa ni wa kweli kiasi kwamba hupelekea watoto kuwa mbali kabisa na baba...
Miaka thelathini na sita bado hujitambui!
Umri huu unatakiwa kutoa ushauri wa vijana kuachana na mambo hayo na wala si wewe kuomba ushauri wa kipumbavu hivi.
Mkuu huyo sio mke bali Shetani mwenye umbo la binadamu wa kike.
Njia bora kabisa ya kuwaumiza adui wako ni kukaa kimya wao wanapoongea.
Ushindi utapatikana kwako kwakuwa ukweli hauna tabia ya kukaa mafichoni.
Mambo yanayosemwa kuhusu wewe na ikawa sio ya kweli hautakiwi kuumia.
Ukiumia kwa mambo...
Ikiwa una miaka 40+ na baba yako mzazi yupo,mtumie vizuri.
Mama yangu mzazi na mama mdogo yaani mke mdogo wa baba waliniteka kwa kunishawishi na kuniaminisha kuwa baba yangu ni mtu asiyefaa na ni mojawapo wa wanaume walioshindwa kulea ama kutunza familia akiwa kijana.
Niliwaamini nikamtenga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.