Kwa kifupi niseme uislamu ni dini ambayo imeleta mafunzo ambayo yamekuwa na tija kubwa kwa maisha ya binadamu..
Mtume swallallaahu alaihi wasallam alisema: "KATIKA MAZURI YALIYOPO NDANI YA UISLAMU NI MTU KUACHA LISILOMHUSU."
Pia uislamu ulishawishi sana watu wake kuwa na tabia nzuri ..na katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.