Recent content by Pedeshee kiraka

  1. P

    Ni jambo gani akifanya mpenzi/mke/mume wako unamuacha

    Kupeleka puchi nje.... Sitaki hata kusikia maana yalinikuta hayo, nikapiga chini mpk leo anatapatapa.
  2. P

    Naombeni ushauri jinsi ya kumsahau

    Tupo wengi njoo kwangu.... Nitakupenda hata kama una sura kama gimbi.
  3. P

    Nimemtongoza demu juzi, leo nimeambiwa simu imepotea

    Wakuchunwa aiseeee Nunua upewe puchi baba.
  4. P

    Simuelewi huyu msichana

    Jembe vipi bana? Yaani kusoma hujui na picha nayo huoni? Chukua hatua jembe tayari huyo ni wewe tuu aisee.
  5. P

    Kushafanya mapenzi na mwanamke mara ngapi huwa unaacha kutumia condom?

    Kazi ipo.....falsafa yangu mimi ninayoishi hayo ni hivi.. Usitembee peku njia usizozijua. Upo hapo?
  6. P

    Lips zake zimenichanganya

    Shindwa shetani shindwa shetani........... Toka kajitose baharii.........
  7. P

    Wanaume na wanawake straight talk nini kipaumbele chako katika Mapenzi?

    Huyu tina cute ni mpuuzi sn, eti kuchuna mwenzio alafu baadaye nduki. Ndoo maana mmelaaniwa tangu mkiwa tumboni.....
  8. P

    Kubembeleza mpenzi kila wakati

    Unaangalia na unayembembeleza anaeleweka au umemkwaza kweli, au anataka kukufanya fisi mkunga.
  9. P

    Mjamzito atembea kilomita 100 kujinusuru kipigo cha mumewe

    Huyu jamaa kwanini asingepelekwa gender, ana mimba kisha unampigwa... Fisi mkunga huyo ajielewi.
  10. P

    Wanaume: Piga Ua, wanawake uliosoma nao wameshazeeka

    Ni ukweli kabisa ndio maana mtu unashauriwa uoe mwanamke unayemzidi yapo miaka kumi, hii itakuepusha kuchepuka aisee, wanazeeka sana mapema hawa wanawake hasa akikosa matunzo utamkimbia.
  11. P

    Kwanini baadhi ya Wanawake hawavai Chupi?

    Kaka wanasema thamani ya kondoo ni mkia, huonagi mtu akienda kununua kondoo anashika kwanza mkia, bei inaendana na mkia baba.
  12. P

    Msaada wa mawazo

    Kwanza jamaa ni jembe, napenda wanaume wenye msimamo ambao hawayumbishwi ukisema no ni no. Mimi sipendi watu waongo akishaaribu protocol zangu basi imepita, jamaa achane naye huyu mwanamke ni tapeli tuu atakuja kumsumbua.
  13. P

    Aisee,kuachwa na mpenzi huku bado unampenda,kusikie tu kwa mwenzio

    Ni hivi ina maumivu kweli.., but uwe mvumilivu. Siku zote mapenzi hayalazimishi, ongopa mtu ambaye ajui dhamani ya machozi yako. Sanuka kaka,
  14. P

    Katiba bado ina bikira.

    Wana jf. Mimi fikira zangu zinaakisi kwamba rasimu ya katiba bado ina ubikira, Katiba imekuwa na itikadi za kivyama mimi falsafa yangu naona hakuna chama ambacho kiko loyal kwenye suala la katiba.
Back
Top Bottom