Go mi num
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 1,321
- 1,609
Habari wana mmu
Mimi ni msichana wa chuo na nilikua na mpenzi wangu toka kipindi tupo high school nilitokea kunpenda sana na nilimwamini sababu alikuwa na mapenzi ya dhati,kila nilipomwitaji alkuwa pamoja na mimi.Alinitambulisha kwa ndugu na rafiki zake wote hadi kunipeleka kwao nikaamini ananipnda so nikakubali anitoe bikra yangu sababu niliamini ndio mume wangu kwa mapenzi aliyononyesha.Baada ya muda nimekuja kujua ananicheat kwa miaka mingi na ana wasichana wengi sasa sijui nifanye nini nashindwa kumwacha sababu nampenda sana nimejaribu nashindwa naombeni ushauri wenu nifanye nini ili niendelee na maisha yangu nimsahau kabisa?
Aseee poleee .... mama yan stor yako na yanguu ni the same .... bora wew mie mwenzio had rumet wng katembea nae bt baada ya mateso ya muda mrefu hatimae niko poa sa hviii an i don care wht h z doing nasoma zangu japo alinisababishia misap meng ndo nasomakuyatolea kuleee .... ckushangai mamang zaid jikp busy ... kuwa na marafk wanaokukp busy pia .... Mungu mrudieeee anaondoa machungu yote ukimtumain yey.......... hayooo tuuu