Recent content by Pearce

  1. Pearce

    Jaribo la TRUMP kutaka kumkamata KHAMENI, Ulimwengu una cha kujifunza kuhusu RUSSIA

    Tayari Manowari za Kivita zenye ndege za kutosha, zimeaanza kuelekea Middle East Nimesoma source moja, hadi ndege zinazojaza mafuta ndege nyingine angani zimeshasogezwa hapo Middleeast Kifupi RUSSIA kawasaliti allied wake wote VENEZUELA, CUBA na IRAN. Sijui Viongozi wa Afrika wanakubaligi...
  2. Pearce

    Kwa kauli hii ya Padre Kitima nimeamini kuwa kweli Kanisa Katoliki ni sikio la kufa

    Hapana unamvunjia Heshima, kwa hapo unakosea huyu sio Kubwa Jinga ila Jinga Kubwa
  3. Pearce

    Sielewi wairan wanaandamania nini?

    Kim nimejifunza baada ya October 29 2025, 1. Masilahi ndio anguko la Utawala wa Ayatollah (mafuta + gase) 2.Vikwazo vikubwa inavyovipata kutoka west 3. Aftermath ya vita yake na Israel, gharama kubwa ya Iran iliyoitumia kutengeneza siraha ijihami dhidhi ya west na israel 4. Kizazi kipya...
  4. Pearce

    Askofu Ruwai'chi: Tusiwe Wakatoliki wa Vijora na kuhongwa

    Mkuu mbona unalenga kwenye chembe tu, unataka mtu aharishe maini?
  5. Pearce

    PostGE2025 CHADEMA walitoa sadaka ya kujimaliza Oktoba 29, hawainuki tena

    Moderator tafadhali tunaomba muongezee emoji hii 💩 kwenye eneo la thanks
  6. Pearce

    Naombeni ushauri kuhusu kumuoa huyu binti

    Ukiendelea kubaki unaweza bambikwa hata mtoto hapo
  7. Pearce

    PostGE2025 Barua ya wazi kwa Balozi wa Papa juu ya kauli ya Askofu Ruwa’ichi

    Moderator tunaomba muongezee emoji ya 💩 kwenye eneo la thanks Natanguliza shukrani
  8. Pearce

    Tanzania tuna amani ila uhuru wetu umebagazwa na kubanangwa

    Katika kitu cha kuomba Mungu siku zote Katika nchi yetu ni kuomba sana Mungu atuondolee wasomi wapumbavu Ambao hawana msaada kwa jamii zao, halafu ajabu ni kwamba serikali zetu Afrika inawapiga vijana kama Malisa G na kuwakumbatia sampuli kama hii
  9. Pearce

    PostGE2025 Padre Kitima: Nilishauriwa na watu nisiende kumzika Jenista

    Kipimo cha uweza wa akili ya mtu ni maandishi yake.
  10. Pearce

    Mange Kimambi kashapewa pesa atulie kimya, wajinga ndio waliwao

    Wewe usie tapeli, una msaada gani kwa nchi yako?
  11. Pearce

    Mbona hizi Propaganda tunaelekea mahali pa Zimbabwe?

    Siamini kwa asilimia 10 Tatizo sio Samia, tatizo lipo kwenye mfumo wa siasa za nchi. Chama kujifungamanisha na tasisi za serikali muhimu kiasi kushindwa kujitofautisha. Hii itaisha kwanza kwa kutoka katika Dola la Vyombo vya jeshi na kuwa dola la kiraia. Na dawa muhimu ni mabadiliko ya...
  12. Pearce

    Mbona hizi Propaganda tunaelekea mahali pa Zimbabwe?

    Labda kama sikuwa na akili timamu wakati huo wa hayo yanaendelea Kuna speech moja wa aliekuwa President wakati huo akitaamka kabisa hadharani "Zimbabwe ni ya kwake" Na alikuwa na uwezo wote kuzuia yaliyotokea lakini aliyafanya kama Political rhetoric hili aendelee kuishi madarakani mpaka...
  13. Pearce

    Mbona hizi Propaganda tunaelekea mahali pa Zimbabwe?

    Nakumbuka mahali ilipokuwa taifa la Zimbabwe, Mshua aliwahi kufika huko miaka 1990s. Alitueleza mengi sana na kulikuwa na products za Zimbabwe kimasoko zilifika hadi hapa nchini. Shida ilianza viongozi kuanza kukosa sera na mikakati ya kuendeleza nchi yao, na kuanza kutafuta adui wa nje...
  14. Pearce

    Ndoto niliyoiota 19/11/2025

    Mimi nilikuwa kwenye Ndege nyingine, nikiitazama ndege hiyo Na nilikuwa napita nikiitazama kwa chini
  15. Pearce

    Ndoto niliyoiota 19/11/2025

    Niliota kulikuwa na Ndege Aeroplane ambayo inataka kufanania na Gulfstream lakini ilikuwa imepakwa rangi za jeshi Lakini kwenye ndoto hiyo, ndege ilikuwa juu kwenye Mlima mkali wenye makorongo, na ndege hiyo ilikuwa inajaribu kupaa ili iondoke kwenye Mlima huo. Nikawa nawaza kwenye hiyo ndoto...
Back
Top Bottom