Recent content by Peapea

  1. P

    Wakati Maghufuli(serekali) akitengeneza za chuma/bati, bakhresa(AZAM marine) anashusha za fiber

    Hiyo ya bakhresa ni boat sio meli! Meli ni hiyo iliyoibeba hiyo boat. Meli haiundwi kwa fiber! Nyambafu....
  2. P

    CUF: Serikali iiombe radhi Saudi Arabia kwa kuwasakama raia wake kwa Ugaidi

    Kama wameanza kuwaoza mabinti wao kwa watu weusi, bac hawana ubaguzi! Kama wameanza kuwatendea vizuri wafanyakaz wa ndani kutoka indonesia bac watakuwa wameacha ubaguzi! (kuwa profesa sio kuwa na hekima)
  3. P

    CUF: Serikali iiombe radhi Saudi Arabia kwa kuwasakama raia wake kwa Ugaidi

    IF U HAVE NOTHING TO SAY, BETTER TO SAY NOTHING; Christopher Columbus. Kuwa professor sio kuwa na hekima, hapo ni kulilia tende na mbuzi wa kutoka SAUD. Ugonjwa wa kujikomba kwa watu weupe umetuathiri sana!
  4. P

    Anayetumiwa na CHADEMA kuvujisha SIRI za wateja wa TIGO huyu hapa

    Unalipwa sh ngapi na hao cccm? Utasutwa umbea mtoto wa kiume! Pumbafu shogi we!
  5. P

    Hii si hali ya kawaida, bila shaka serikali inajua siri ya haya

    Hivi bado watasimama majukwaani na kusema nchi yetu ina amani? Ukweli ni kwamba serikali ya ccm ya awamu ya nne ndio imeleta haya yote! IKO WAPI AMANI WAKATI TUNAFANYA IBADA KWA HOFU YA MABOMU? JK UTAINGIA KWENYE HISTORIA YA KULETA MACHAFUKO NCHI HII.
  6. P

    Kwanini maswali ya kujibu Mhe.Warioba, wanajibu CCM?

    CCM ni kama mwanamke PUTANA.
  7. P

    Usafirishaji wa mizigo bandarini

    Jitihada zenu za kumtetea kinana kwamba hausiki na ivory trade ni bure! Kwani kwa watanzania kinana ni jangili wa tembo wao, huo ndio ukweli na wananchi ndicho wanachokisema. Mteteeni kwa kila neno lakini mjue wananchi wamepoteza imani na ccm yenu kwa ufisadi wa raslimali za nchi...
  8. P

    HOTUBA ya Kambi ya Upinzani Bungeni, Maliasili na Utalii na Peter Msigwa (FULL TEXT)

    CCM,wananchi tunataka mjibu hoja kugawiana vitalu vya uwindaji, kuhusu OBC kule loliondo,kuhusu dentist wa tembo kinana na mengineyo. Nchimbi kusema wapinzani waongo bila kujibu hoja zao ni kuonyesha kwamba hamna majibu sahihi. Serikali ya ccm ndio mna husika na ufisadi wa nchi hii. UKWELI...
  9. P

    TCRA mnayalinda makampuni na kuwanyanyasa wananchi

    Nchi hii ni kituko! Ni bora wakoloni kuliko watawala tulionao.
  10. P

    Ole Sendeka; mashambulizi ya CHADEMA kwa Kinana ni matokeo ya ziara ya Morogoro

    nchimbi, huna aibu? kwani ufisadi unaofanywa na chama chenu nani asiyejua? hivi unataka kuwaaminisha watz kwamba kinana hausiki kuhujumu tembo wetu? kwamba hamkuuza twiga wetu? nyinyi viongoz wa ccm ni aibu sana! mnaifilisi nchi hii ili mkaishi wapi? ni bora mkoloni mweupe kuliko mkoloni mweusi...
  11. P

    Tanzania uchi wa mnyama sasa...

    Washington ndio mambo yote, lile bango kuwekwa pale ndio mwake. Acheni unafiki,nyinyi ndio mnaoichukia marekani halafu mnahangaika kutaka viza za kwenda huko, ILE NDIO USA KIBOKO YA WALE WENYE MLENGO.......
  12. P

    Mkuu wa mkoa wa Arusha kwa hili tafuta njia ya kukimbia mji

    Mkuu wa mkoa awe makini na madaraka yake, asicheze na maisha ya watu HILI LA LEMA LISIJE KUMGHARIMU.
  13. P

    Je,Mwakyembe alifichua Genge la Mauaji kwa nini Polisi wamegwaya??????

    Huyo ndio mwakyembe, kama ulikuwa na biashara za ubabaishaji kule bandarini, basi sitashangaa hivyo ulivyo comment!
  14. P

    PICHA: Compare and contrast - Mwanza and Morgoro

    Watu walikwenda kumuona huyo domo na kata k yake, ccm hatudanganyiki!
  15. P

    LIVE UPDATES: Mkutano wa CCM Morogoro

    Huyo mwenye mabasi ndio mkoloni wenu mpya baada ya uhuru. wakeup new generation hao wazee wamasha kata tama hawana future hao.
Back
Top Bottom