Recent content by pd2

  1. P

    WANAWAKE kutembea na picha(passport) za wapenzi wao kwenye wallet zao.

    Lakini hata kama janaume lina sura mbaya si ulilipenda mwenyewe baada ya kuona linakufikisha kwenye kilele cha Mlimani Kibo kule Kilimanjaro? Napita tu
  2. P

    Sakata la ujenzi wa jengo la ghorofa 19 ikulu: Nani wa kumfunga paka kengere?

    Kwani ikulu ikipigwa sisi watu wa vijijini kajamba nani tutapata hasara gani? shida zetu, karaha zetu, hatuna maji, hatuna masoko ya bidhaa zetu, watoto/wake zetu wanabakwa, usafiri tabu, huduma za afya ndo usiseme, tuna faida gani na ikulu?
  3. P

    Sakata La Tembo: Shehena ya Pili Yakamatwa Hong-Kong Toka Tanzania

    Hata kama anajulikana, ni panya gani atamfunga paka kengele?
  4. P

    Uzalendo umeniishia: Sasa naipenda CHADEMA

    Bora umegundua mapema kabla ngalawa ya CCM haijaingia maji katika eneo la Nungwi! Karibu nyumbani!
  5. P

    Wabunge wa CCM waonyesha umbumbubu bungeni. Hawajui maana ya IMPOTENCY

    Umenikumbusha neno jingine la 'kutia' lilipoleta mjadala katika bunge la Mh. Sitta walipozozana kwamba 'kutia' ni matusi kwa maana ya ngono! Loooo! Kazi kwelikweli...
  6. P

    Tofauti ya Mzungu na Mswahili Anapokopa mihela.

    salamu ndeeeeeefu nimechoka hata kabla ya kusikiliza shida yake huyo mswahili....
  7. P

    Mtifuano CHADEMA: Lissu na Dr.Slaa wapishana sakata la Lwakatare!

    Utauzwa mara ngapi wewe? Hapo ulipo ushauzwa na bahati mbaya ushasahau kama ushauzwa...deni la nchi yako tu walilokopa jembe na nyundo wewe unadaiwa zaidi ya shilingi laki nne na watoto wako (kama unao) sasa hapo hujauzwa tu? Wawekezaji wameshakuwekeza sana hata hujielewi, nitajie mkoa gani...
  8. P

    Kibanda apelekwa kutibiwa Afrika Kusini

    Ulimboka. Mwangosi. Muuza magazeti wa Morogoro. Mapadri wawili mmoja karestishwa in peace na wengne tunawindwa km swala. Ila saa ya ukombozi inakaribia Mungu wetu ni simba wa vita. Tutashinda.
  9. P

    CCM Na Zuzuka La 'Umati' Kigoma

    CCM walisoma alama za nyakati. Waliona wakifanya maadhimisho yao zaidi ya jumapili watakosa wale watu waliowatoa Kasulu, Manyovu na Uvinza (na uswekeni-yaani nje ya mji wa Kgm wenyewe) kwani tarehe 5 ilikuwa inaangukia siku ya kazi! Si mnaona jinsi walivyocheza karata zao za magamba na ufisadi...
  10. P

    CHADEMA imejipanga 2015?

    Tutajua mbele ya safari, la muhimu hivi sasa CCM iondoke kwanza madarakani, kwa sababu wakati wa ukombozi tunaancha pembeni mengineyo hadi uhuru upatikane, hata TANU hawakuwa wamejipanga ile kivile, bora hata CHADEMA ina baadhi ya makada waliokuwa CCM kipindi kirefu wakachoshwa na mbwembwe za...
  11. P

    Naibu Waziri January Makamba anatembelea Bajaj

    Hiyo inaitwa funika kombe... Bongo ni nchi ya sanaa bwana, mtu analia kwa uongo itakuwa JM? kajisikia tu kuipanda hiyo bajaj, je kwake nyumbani anazo ngapi?
  12. P

    Wanawake wengi wasomi au wenye kipato kizuri hawadumu kwenye mahusiano!

    NI KWELI TANZANIA NI NCHI YA AMANI NA UPENDO? Naomba ndugu wadau tujadili kwa marefu na mapana kuhusu kichwa cha habari hapo juu. Hivi hii amani tunayoisema Tanzania ipo kweli? Ni aina gani ya amani? mtu kutembea mtaani huna uhakika wa kufika kwako salama kutokana natishiola vibaka, watoto wetu...
  13. P

    Wanawake wengi wasomi au wenye kipato kizuri hawadumu kwenye mahusiano!

    Nawasalimu katika jina Mungu mwema na Mtukufu. Ni mara yangu ya kwanza kuchangia katika uga huu wa majibizano ya JF. Mada hii ni nzuri kweli kweli, ushuhuda wangu ni kwamba mimi ni mmoja kati ya watu wengi au wachache (inategemea) walio katika mahusiano ambayo mimi nafanya kazi ya ubize mwingi...
Back
Top Bottom