CCM Na Zuzuka La 'Umati' Kigoma

CCM Na Zuzuka La 'Umati' Kigoma

Tusubiri tena 2015 tuone mtanyanyuka na majombo mangapi.......
 
jaza uwanja , usijaze watanzania wote si wanasiasa ila ni wapiga kura. zingatieni kuwashawishi watanzania wote ili mpate kura zao. kiburi, jeuri, vitisho, ukabila na majivuno siku ya siku wimbo utakuwa umati wote ule haiwezekani NIMEIBIWA KURA , ndugu zangu kura unajiibia mwenyewe kwa kauli zako za shari mikutanoni.
 
CCM walisoma alama za nyakati. Waliona wakifanya maadhimisho yao zaidi ya jumapili watakosa wale watu waliowatoa Kasulu, Manyovu na Uvinza (na uswekeni-yaani nje ya mji wa Kgm wenyewe) kwani tarehe 5 ilikuwa inaangukia siku ya kazi! Si mnaona jinsi walivyocheza karata zao za magamba na ufisadi? Ila nyakati za kutema karanga kwa bigijii za kuonjeshwa zimeshapitwa na wakati, Linex mwanamuziki maarufu wa Kigoma ameimba hivyo! au vipi jamani.
 
Kwa Watanzania wengi, picha ni ujumbe kisiasa, na ujumbe chanya au hasi una shadadiwa na UMATI wa watu shiriki katika mikutano ya kisiasa. Hii ya CCM sijui katika fikra hizo inatoa ujumbe gani, hasa ikizingatiwa hiyo ni "ngome" ya vyama vingine vya kisiasa huku kikiwa 'kimelemewa' na zigo la kiuongozi na kiutawala nchini.

Sina budi kukubaliana na wale wanaopatwa na sindiko la moyo pale matokeo ya chaguzi yanapokuwa vinginevyo kwa kutumia dhana ya UMATI katika siasa za Tanzania.

watu wa mkoani ni wapenzi wa sikukuu, na sikukuu ya kuzaliwa kwa ccm nayo ni same kama sikukuu zingine, kwa hiyo kwa upande mwingine ni nafasi ya kupata mtoko na mapumziko kwenda kuona ngoma n.k
haimaanishi kuwa wanaipenda sana ccm, kwanza hapo wengi pia wametoka nje ya kgm
 
watu wa mkoani ni wapenzi wa sikukuu, na sikukuu ya kuzaliwa kwa ccm nayo ni same kama sikukuu zingine, kwa hiyo kwa upande mwingine ni nafasi ya kupata mtoko na mapumziko kwenda kuona ngoma n.k
haimaanishi kuwa wanaipenda sana ccm, kwanza hapo wengi pia wametoka nje ya kgm

Toka lini sikukuu ya kuzaliwa CCM ikawa kama sikukuu zingine. Mimi nilikuwa nafikiri baada ya nchi kuingia multiparty, hii kitu ilifutiliwa mbali. Mimi nadhani ilikuwa ni normal Sunday.

Kwa maelezo yako inaonyesha unasimama na hii dhana ya kwamba uwingi wa watu kwenye mikutano ya kisiasa siyo kigezo cha chama kukubalika. Kitu ambacho hata mimi nilikuwa nafikiri hivyo.
 
Sasa nimeelewa kwa nini MKUTANO huu ulifanyika Ijumaa Pili (tarehe 3) badala ya Ijumaa Nne (tarehe 5 ambayo ndio siku yenyewe ya kuzaliwa CCM)
 
Wengi wa waliokuwa wamevaa sare za kijan ni wale chipukizi wa gwaride na pale jukwaa kuu na wachache wale mabalozi, kwa hiyo usdanganye eti wengi walivaa sare za magamba,mi na timu ya makamanda wengie kibao tulienda baada ya kusikia diamond na ngoma ya kirundi.naamini wengine wengi walienda kwa interest za burudan,cio ccm
 
CCM walisoma alama za nyakati. Waliona wakifanya maadhimisho yao zaidi ya jumapili watakosa wale watu waliowatoa Kasulu, Manyovu na Uvinza (na uswekeni-yaani nje ya mji wa Kgm wenyewe) kwani tarehe 5 ilikuwa inaangukia siku ya kazi! Si mnaona jinsi walivyocheza karata zao za magamba na ufisadi? Ila nyakati za kutema karanga kwa bigijii za kuonjeshwa zimeshapitwa na wakati, Linex mwanamuziki maarufu wa Kigoma ameimba hivyo! au vipi jamani.

Jenga hoja ukizingatia kuwa, sherehe za kuzaliwa CCM zilifanyika nchi nzima na siyo Kigoma peke yake pamoja na kwamba Kitaifa zilifanyika huko kama hoja yako inavyochagiza.................Take into consideration kama wanachama, wapenzi na mashabiki wa CCM ni wafanyakazi kama wafanyakazi wengine. IN TANZANIA, TUESDAY IS A WORKING DAY na zama za chama kushika hatamu hazipo tena.
 
Toka lini sikukuu ya kuzaliwa CCM ikawa kama sikukuu zingine. Mimi nilikuwa nafikiri baada ya nchi kuingia multiparty, hii kitu ilifutiliwa mbali. Mimi nadhani ilikuwa ni normal Sunday.

Kwa maelezo yako inaonyesha unasimama na hii dhana ya kwamba uwingi wa watu kwenye mikutano ya kisiasa siyo kigezo cha chama kukubalika. Kitu ambacho hata mimi nilikuwa nafikiri hivyo.

nimezungumzia mtizamo wa watu wa mkoani, wewe mzaliwa wa mjini nini! watu wanavaa wanaenda kusherehekea sabasaba, sikukuu ya wakulima n.k huku dar umeshaona watu wanamind kivile?
 
Hebu waende bila kutumia vikundi vya komedi, bendi za muziki wasainii wa vichekesho, pilau, taarabu n.k uone kama watu watakuwa hivyo . kwa kifupi sishangai huo umati kwani kwa siku za karubuni ccm bila kwenda na hayo makundi hakuna kitu. Nashanga na sielewi mtu anaposhangaa watu wakiwa wamejaa na ilhali mahali hapo kuna kila aina ya burudani na wasanii maarufu nchini ambao kwa wengi asipotumia hiyo fursa anaweza asiwaone kabisa ktk maisha yake! Na hizo sare hugawiwa kama njugu. tena kwa mtazamo rahisi si rahisi mtu ande kwenye mkutano wa ccm na nguo ya cuf au chadema. Sasa hebu tujiulize wangapi wamekuja kuwaona akina viongozi wa chama hapo kama si diamondo aliye wavutia? Tatizo baadhi ya watu ni kama wanafikiria kwa kutumia masaaburi! hivi kwelimahali penye kila aina ya burudani na vyakula burebure na tena usafiri bure wa kufika hapo patakosa umati kama huu?
 
nimezungumzia mtizamo wa watu wa mkoani, wewe mzaliwa wa mjini nini! watu wanavaa wanaenda kusherehekea sabasaba, sikukuu ya wakulima n.k huku dar umeshaona watu wanamind kivile?

Usichanganye sherehe za kitaifa ambazo huwa ni mapumuziko kikazi na maadhimisho ya chama..................... Unataka kuniambia kwenye mikutano ya kisiasa inayofanyika Dar es salaam watu huwa hawajari na kwa hiyo huwa ina hudhuriwa na watu wachache. This is new to me.
 
Back
Top Bottom