Recent content by pc20

  1. pc20

    Plot4Sale Eneo la hekari mbili linauzwa, lipo kijiji cha Cheta

    Eneo la hekari 2 lipo kijiji cha Cheta, kata ya Kazole wilaya Mkuranga mkoa wa Pwani, ni 8km kutokea Vikindu getini kwenye barabara ya rami linauzwa kwa Tsh. 10millions kila hekari moja. kwa yeyote yule ambaye yuko tayari kununua eneo hili basi tuwasiliane kupitia 0659 91 9292
  2. pc20

    Tabia ya madreva na makondakta wa daladala za Mbagala kuzuia abilia kupanda magari yao

    Tangu kituo kipya cha kariakoo kufunguliwa kumejitokeza tabia ya madreva na makondakta wanaotoa huduma ya usafirishaji kwa wakazi wa Mbagala kuingiza magari yao kituoni kisha wanawakataza abiria kupanda magari hayo, wakiulizwa wanasema hawapakii, na tabia hii waga inatumiwa nyakati za jioni...
  3. pc20

    Eneo la hekari 8 lenye hati miliki linauzwa Bagamoyo

    Eneo la ekari 8 lenye Hati lililopo Mwavi kwenye kona ya barabara kubwa ya Lami ya Bagamoyo Msataa na Mkenge road kabla hujafika kiwangwa 18kms from Bagamoyo mjini. Linafaa kwa Makazi, Petrol station, Bandari kavu, yard za magari, Hospital, Shule..nk itategemeana na matumizi ya mteja. Bei ni...
  4. pc20

    House4Sale Nyumba inauzwa kwa bei nzuri kabisa

    Nyumba hii Inauzwa Iko mbagara Chamanzi Saku. Ina 3bedroom,sitting room,dinning room,kitchen,store. Bei ni 100 millions, pia bei inapungua. Tuwasiliane kupitia 0659 91 9292
  5. pc20

    Nyumba ya vyumba vinne (4) inauzwa tsh 46millions

    Ndugu mteja, Nyumba hii ina jumla ya vyumba vinne (4), jiko1, choo cha public 1 pamoja na frems mbili 2 za maduka kwa upande wake wa mbele. Nyumba hii ipo Chamazi Saku Iruru, inauzwa kwa Tsh 60 millions ikiwa imekamilika, Na kama utainunua ikiwa kama ilivyo kwa sasa basi bei yake itakuwa ni 46...
  6. pc20

    House4Sale Nyumba ya vyumba vinne (4) inauzwa

    Ni eneo la makazi, pia eneo halina hati isipokuwa kama unataka kununua ikiwa na hati basi tutafanya kila kitu kisha utakabidhiwa nyumba ikiwa ina kila kitu.
  7. pc20

    House4Sale Nyumba ya vyumba vinne (4) inauzwa

    Habari za siku ya leo ndugu yangu, leo nisiku nyingine tena ambayo nawalete habari njema juu ya makazi ya mwanadamu. Nyumba hii ina vyumba 4, jiko1, seating room1, frems 2 kwa upande wa kulia, inapatikana maeneo ya Chamanzi Dovya kwa Mzara jijini Dar es Salaam. Inauzwa kwa Tsh 76millions...
  8. pc20

    Kamati ya uchaguzi ya Klabu ya Yanga yatangaza tarehe ya uchaguzi, zaidi bofya hapa

    Kamati ya Uchaguzi ya kablu ya Yanga leo imetengaza tarehe rasmi ya uchaguzi wa klabu hiyo kuwa Juni 11,huku ikisisitiza TFF na BMT wakae kama waangalizi katika uchaguzi huo. Akiongea na Waandishi wa habari mapema leo jijini Dar es Salaam Katibu Mkuu wa klabu ya Yanga Baraka Deus amesema kuwa...
  9. pc20

    Hoja ya dharura wanachuo 7,000 UDOM: N/Spika aahirisha Bunge baada ya wabunge kwa pamoja kutoka nje

    Ata awe mzee au kijana kwenye hili hakuwa na nafasi ya kulikwepesha hata kidogo.
  10. pc20

    House4Sale Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa tsh 28million

    Sisi tuna wakaribisha watu wote wenye kuitaji nyumba zetu na wanaweza kufanya uchunguzi pasipo kutuhusisha juu ya kile wanacho taka kununua kisha baada ya kujiakikishia kuwa ni salama ndipo tunafanya biashara sasa.
  11. pc20

    Hoja ya dharura wanachuo 7,000 UDOM: N/Spika aahirisha Bunge baada ya wabunge kwa pamoja kutoka nje

    BREAKINGNEWS: Wabunge bila kujali itikadi zao za kivyama wametoka nje ya kikao cha Bunge baada ya Naibu Spika kukataa kauli ya serikali kuhusu wanafunzi wa Chuo cha Dodoma waliosimamishwa kujadiliwa. SAKATA LA UDOM LA LAZIMISHA BUNGE KUAHIRISHWA. Kufuatua hoja iliyoletwa na Mbunge wa...
  12. pc20

    House4Sale Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa tsh 28million

    Ili si eneo la wazi ila ukubwa wa kiwanja nimeutaja hapo juu kwenye maelezo ya hawali upana wake ni 13mita na urefu ni mita 19
  13. pc20

    House4Sale Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa tsh 28million

    Kutoka Mbagala Rangi tatu hadi eneo ilipo nyumba.
  14. pc20

    House4Sale Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa tsh 28million

    Asante sana, pia karibu sana kununua
Back
Top Bottom