Mimi wa mkoa wa lindi sioni faida yake.... utendaji wake yawezekana upo upo sema shida ni cheti... achilia mbali kuongelea swala la madawa ya kulevya tiari ashashukuliwa juu ya hilo ila linalomkabili ni sakata la vyeti kama agizo kutoka kwa rais.
Kumbe walikua location ndo maana rais aliwasifia sana jamaa wana vituko kweli mbinu nyingine za kichafuana ni za miaka ya 50 hivi...... shilawadu, clouds hawana tofauti na TBC siku hizi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.