Recent content by Paul Paty

  1. P

    RC Paul Makonda afika Bungeni kuhojiwa na Kamati ya Maadili. Taarifa itasomwa bungeni...

    Sheria zipo nahisi kila kitu kitaelezwa na vifungu vitasomwa so anaweza kutwa hana hatia na akaachiwa aendelee na kazi.
  2. P

    BASATA mjipange

    Wana maamuzi ya kise..........
  3. P

    Issue ya RC wa Dar imefanikiwa kuzimwa

    Usikate tamaa rais atachukua hatua sitahiki soon.....bado na bunge likianza lazima hii kitu iibuke upya.
  4. P

    Tetesi: Nape Nnauye kufukuzwa uanachama wa CCM

    Utakuja nikueleweshe
  5. P

    Anaandika kada mkongwe wa CCM kuhusu uamuzi wa Magufuli juu ya Makonda

    Mimi wa mkoa wa lindi sioni faida yake.... utendaji wake yawezekana upo upo sema shida ni cheti... achilia mbali kuongelea swala la madawa ya kulevya tiari ashashukuliwa juu ya hilo ila linalomkabili ni sakata la vyeti kama agizo kutoka kwa rais.
  6. P

    Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!

    Kumbe walikua location ndo maana rais aliwasifia sana jamaa wana vituko kweli mbinu nyingine za kichafuana ni za miaka ya 50 hivi...... shilawadu, clouds hawana tofauti na TBC siku hizi
  7. P

    DODOMA: Bashe, Musukuma na Malima waachiwa

    Nenda kenya usikie moto wake..kwani si ni hapo tu
  8. P

    Sakata la Lema na USHAHIDI wa Vodacom (kamaa tadinu tudana)

    Vodacom umbea utawaharibia biashara
  9. P

    Sakata la Lema na USHAHIDI wa Vodacom (kamaa tadinu tudana)

    Voda waisome namba hata deni lao siwalipi........... mamruki haoooo
Back
Top Bottom