Recent content by Paul dybala

  1. Paul dybala

    Uzi Maalumu: CAF African Nations Championship (CHAN) 2024: Morroco yawa mabingwa

    Alietufunga stars naona bado hajapiga penati
  2. Paul dybala

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    1.Ug vs seneg ...senegl win 2.mancity vs totth ....man city win 3.sudn vs Algeria ...Algeria win 4.arsenal vs Leeds....arsenal win 5.bounm vs wolv....boun win 6.levant vs Barcelona...Barca win 7.st Pauli vs dotmund ...dotmund win 8.liverkusen vs hoffmen...liverk win
  3. Paul dybala

    Jezi zaTaifa stars zinauzwa kiasi gani huko madukani?

    Wakuu,,,samahani kwa alie pitapita huko madukani...jezi ya stars ni Bei Gani?nataka nikaisapoti timu kesho
  4. Paul dybala

    Wachawi wamefanikiwa kuniogopesha kulala ghetto

    Aisee wakuu,...ndugu yenu saivi yapata siku ya nne silali kwa amani kabisa. Siku ya jana nikiwa tayari nimesinzia nilishtushwa na kitu ambacho kilikuwa kinanitambaa mkononi kinaanzia kwenye vidole hadi begani.,bhasi nikashtuka nikarusha shuku,nikajipangusa kwa kiwewe huku naweweseka,,nikawaza...
  5. Paul dybala

    Neno 'sina' ni muhimu sana

    Kumbe hapo unamnyima sio🤣?
  6. Paul dybala

    Neno 'sina' ni muhimu sana

    Nilimwambia aache mambo ya kitoto,,mtu hana mke wala mtoto Kazi Kila siku anafanya na anapata hela anashindwaje kulipa hela ndogo hivo.
  7. Paul dybala

    Neno 'sina' ni muhimu sana

    Utaratibu wangu mimi ni huwa sikopi kwa mtu, wala kukopeshwa na mtu,kwa sababu huwa inapelekea urafiki kufa kabisa huko mbeleni,mimi huwa nanuna na mambo yangu mpka natatua changamoto zangu mwenyewe Neno sina linamaliza kabisa utata japo huonekana kuwa ni lakikatiri sana unapomjibu mtu...
  8. Paul dybala

    Hela Yako kubwa kuwahi kuokota ilikuwa kiasi gani?

    Mimi nimewahi kuokota laki tatu,..300,000 kwenye ukoka.Lengo langu halikuwa ovu kabisa nilitaka kuirudisha kwa muhusika. Ilikuwa ni ofisini hotelini,,mimi nilikuwa mtu wa garden ila cha kushangaza kikao kilivyoitishwa kwa wafanyakazi wote,,,muhusika ilionekana ni kama ameibiwa pesa na sio tena...
  9. Paul dybala

    Nina Umri wa Miaka 40, Nilianza Sex Nikiwa na Miaka 20, Sijawahi Toa Bikra ya Mwanamke Ila Nimekutana Nazo Mbili

    Mkuu..Ile kitu inataka roho ngumu kidogo..ukiweka sana ustaarabu hutoweza kufanikiwa...
  10. Paul dybala

    Hizi abaya zinawatia uchizi wake zetu

    Mkuu nina kipengele tarehe moja cha kulipia kodi ya frame...halafu nikipiga hesabu nikanunue abaya...naona bora anune tu
  11. Paul dybala

    Hizi abaya zinawatia uchizi wake zetu

    Sawa mkuu...nitapangilia next time
Back
Top Bottom