Recent content by Paul dybala

  1. Paul dybala

    JamiiForums Tanzania Je, napoteza muda?

    Jf imekuwa ya kiwaki sana.
  2. Paul dybala

    JamiiForums Tanzania Je, napoteza muda?

    Nishauri kaka
  3. Paul dybala

    JamiiForums Tanzania Je, napoteza muda?

    Wakuu poleni sana na majukumu,,..ama Kwa hakika kwenye hili jukwaa wapo wataalamu na wajuzi na wenye experience katika maswala ya mahusiano..Niende Moja Kwa Moja kwenye mada na kiufupi kabisa..,,ebhna mimi baada ya kufanya uchambuzi yakinifu nimebani kuwa mimi ni backup plan Kwa demu...
  4. Paul dybala

    JamiiForums Tanzania Wanawake wapo wapi hapa ?

    Umesahau zuuuu chuchuchuchuchu
  5. Paul dybala

    JamiiForums Tanzania Wanawake Huwa na majini sometime.

    Aisee kumbe...hapo umenifumbua akili mkuu..sikuwaza huko...duu 🤚🙌
  6. Paul dybala

    JamiiForums Tanzania Wanawake Huwa na majini sometime.

    Kuna siku nilienda alipopanga demu wangu.Kwa kifupi alinikaribisha vizuri sana hadi tukajikuta sote tukiwa katika nyakati za furaha sana utani mwingi,story Kwa sana na mipango mingi na tulikula tukanywa na hakukuwa na shida bhasi hatimae ule wakti wa kula tunda ukakaribia... Aisee nilishangaa...
  7. Paul dybala

    JamiiForums Tanzania Kutamani Dunia ifike mwisho, Nani mwingine aliwahi pitia hali hii?

    Sijasoma ...ila nakushauri tafuta sana hela ...ikusaidie badae uzeeni huko
  8. Paul dybala

    JamiiForums Tanzania Nimevumilia Usaliti wa Mke wangu kwa Miaka, Simu yake imenifungua Macho

    Mkuu sijayasoma maandishi yote...lakini napenda kuwashauri wanaume wenzangu mambo ya kupendapenda nikuwaachia wanawake...wanaume tufocus na kazi ...tutengeneze kesho yetu iliobora huku uzeeni...kiufupi fukuza jitu kama hulielewi
  9. Paul dybala

    JamiiForums Tanzania Ma-Single Maza

    Humuhumu mkuu vipi familia aisee,,,
  10. Paul dybala

    JamiiForums Tanzania Ma-Single Maza

    Hata kama...kwanini usianzishe Cha kwako mkuu na wanawake ni wengi waliookuwa hawana watoto..
  11. Paul dybala

    JamiiForums Tanzania Hakuna muujiza wa mwanaume kuonewa huruma hapa duniani

    Kwa hiyo ndugu yangu unatushauri tutafute pesa Ili tukawanunulie bia wanawake sio??
  12. Paul dybala

    JamiiForums Tanzania Uzi Maalumu: CAF African Nations Championship (CHAN) 2024: Morroco yawa mabingwa

    Alietufunga stars naona bado hajapiga penati
  13. Paul dybala

    JamiiForums Tanzania Uzi Maalumu: CAF African Nations Championship (CHAN) 2024: Morroco yawa mabingwa

    Ngozi nyeusi imelaaniwa ..!stupid
Back
Top Bottom