Niwasalimu ndugu zangu nyote katika mtandao wetu pendwa JF.
Bila kupoteza muda ndugu zangu natafuta mother board ya printer hp laserjet pro mfp m125a. Kwa anayejua wauzaji wa hapa Tanzania au kama unayo tafadhali naomba ushirikiano wa kuweza kuipata.
Natanguliza shukran.
Picha ya mother board husika
Kama unajijua ni mahiri wa kucheza ps 4&5 game tofauti tofauti hii ni fursa kwako. Njoo ucheze na ulipwe. Umri uwe ni kati ya miaka 10-25. Hakuna kiingilio ni bure.
Eneo ni Arusha Remote Location. Lipo kijenge karibu na kokorico club.
Kwa mawasiliano zaidi piga namba 0765741591.
Habari wanajukwaa;
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka ninahitaji computer desktop kwa ajili ya watoto kujifunzia. Budget ni 200,000/=tzs.
Kama unayo nicheki kwa namba 0765-741-591Kwa kutuma picha. Walioko arusha nitawapa kipaombele.
Kama ipo amabayo ni quality zaidi kwa bei ambayo pia ni...
Akili nyingine ukizifikiria unaishia kucheka tuu. Unaombea mvua kipindi cha masika? Nenda kaombee huko nambia desert na kalahari mvua zinyeshe watu wapate ardhi walime. Hata vita vya kugombea ardhi vitapungua.
Ifikie mahali watanzania tuache maisha ya kwenye movie. Sasa cha ajabu hapa ni kipi? Tunataka kila kitu kiwe maigizo? Hapa tumeona uhalisia wa maisha yake ni jambo jema ila sio kukosolewa kiasi hiki.
Hii ni ndoto ya mchna. Tanzania bado ni nchi yenye uwezo wa kukabiliana na wahalifu wa kisiasa kwa kiwango cha juu sana. na hii ni kutokana na system ya kiuongozi iliyopo. Na ndio maana kuweka pandikizi la mabeberu ni ngumu sana kwa Tanzania. Angalizo; mimi sio muumini wa chama chochote cha...
"Katika operesheni hiyo ya ukamataji wa magari iliyofanyika kati ya Mei 11 hadi Mei 24, mwaka huu magari yaliyokamatwa ni 24,116, pikipiki 763 na daladala 10,301." Sasa daladala sio magari?
Unakodisha ivyo vitu kwa mtu anayetaka kufanya hii biashara afu hana uwezo wa kununua vitu. Huwa tunakodisha extenal kwa siku 2,000/= CPU 4,000/= hata zaidi ya hapo. sasa inategemea na wew unakodishaje kama full office equipment inaweza kuwa hata 7,000/= au 10,000/= kuendana na uwezo wa vifaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.