Recent content by Patupetu Shekiu

  1. P

    Alaa! Kumbe wamiliki wa DOWANS ndo hawa!?

    Matendo yako yangekua jasiri kama maneno yako mafisadi wa TZ wangekua wamefutika na ikabakia historia kuwa nchi hii iligubikwa na ufisadi.
  2. P

    Nani ataukwaa U-chief justice

    Kwenye nafasi nyeti kama hizi za dola huwa hakuna conflict of interest. Kwa mfano bahati mbaya ibilisi akiwaingilia hawa mabwana mbao mnasema ni ndugu wakaamua kuside against rais katika jambo fulani rais atakuwa katika wakati gani. Au tuseme hivi afisa wa tiss akipewa kazi na boss wa tiss ya...
  3. P

    Mnyika kuwasilisha hoja binafsi bungeni

    Tatizo ni kuwa wao ni mahodari wa kudandia hoja halafu mwisho wa siku wanatekeleza kwa manufaa yao si ya walalahoi wa nchi hii. Mara moja hii umesahau walivyo idandia vita zidi ya mafisadi na wakaipigana kivyaovyao si mliona matokeo ya vita hiyo. Sasa na katiba ndio hiyo wanaidandia tusipochukua...
  4. P

    Tido Mhando atemwa TBC

    Kama wamekiuka mkataba mahakama za kuyashughulika haya hazipo? Au anataka hili nalo liwe ni suala la kisiasa?
  5. P

    Fikra za January Makamba Kuhusu katiba Mpya

    Kutupa muundo wa serikali unaoeleweka na ulioridhiwa na wananchi wote, sio huu wa sasa ambao unaubeba kama si kupendelea kwa waziwazi upande mmoja wa muungano
  6. P

    Tido Mhando atemwa TBC

    Je, hili linafuta haki ya muajiri kuamua kutokukuongeza mkataba? Huyu atakuwa anazeeka vibaya basi, hana lolote.
  7. P

    Tido Mhando atemwa TBC

    Swali: hivi, IGP Mwema kazi yake ni ya mkataba wa miaka 4 kama ilivyo kuwa ya Tid?. Mkataba wa Tido ulisema ni lazima yeye kupewa mkataba mwingine baada ya ule wa awali kuisha? Hivi nini basi mantiki ya kuwa na kazi zenye mikataba hii mifupi? Na mwenye uamuzi wa mwisho wa kuongeza mkataba wa...
  8. P

    BSS Majaji wanatukana na wameapa na kumpitisha mariamu

    Kwa matokeo haya ya BSS napata wasiwasi kuwa utamaduni wa kuchakachua matokeo ndio unaota mizizi. Hawa BSS wamejishushia heshima mbele ya macho ya wapenzi wake. Ama kwa hakika nayaonea huruma makampuni yanayo poteza rasilimamali zake kuwa support kwani pamoja na washirika wao BSS wamejishushia...
  9. P

    Waziri Selina Kombani (Katiba na Sheria) na Hatima ya Katiba Mpya

    Bahati nzuri kuna na ule usemi wa wahenga, "asifiaye mvua imemnyea"
  10. P

    Jk KUPEWA UDOKTA NA KILA KUKICHA-UDHAIFU AU UIMARA??

    Bwana wewe inaonyesha unatetea sana mambo ya kukua kwa uchumi. waweza kutufahamisha ile ndege ya uchumi tuliyokuwa tunaambiwa iko runway inasubirikupaa, imefikia wapi sasa katika safari yake. Hongera Dr mara 5 jk.
  11. P

    Waziri Sitta: Dowans ni genge la ulaji wa vigogo watatu; tusiwalipe!

    Wakati na soma kuna mwalimu wangu alikuwa anapenda sana kutumia neno wekiazi kwa wale wanafunzi wake waliokuwa wazito kuelewa. Nilikuwa na jaribu kutafakariki hivi hawa wa dowans ni wawekezaji au matapeli kama walivyo matapeli wengine? walichowazdii wenzao ni kuwa wao ni matapeli wa...
  12. P

    Kilichompoza profesa peter Msola kukosa uwaziri unakijua ?

    Waambie wayahudi na Wamarekani wanaweza kukusikiliza katika hilo, sio sisi watanzania, ila tu uwe na ushahidi wa kutosha, kwani kama ilivyo sisi wao ndio kabisa hawataki kusikia majungu.
  13. P

    Zitto aisumbua chadema; Chama chafikiri namna ya kumdhibiti?

    Watakao mfuata ni majuha kama wewe, aliye na akilizake timamu hawezi kufanya hivyo, labda utuaminishe kuwa majuha wako wengi.
  14. P

    CHADEMA wamsafisha Shitambala

    Mmekamilisha jukumu lenu kwa hiyo mnarudi tena kusubiri kupangiwa mengine, lakini hakuna kisichokuwa na mwisho hata hizi hila zenu zina mwisho wake
Back
Top Bottom