Mnyika kuwasilisha hoja binafsi bungeni

Hata Kikwete alisema kama kuna mazuri kutoka kwa upinzani kwa nini tusiyatimie. Kama ipo kwenye ilani ya chadema basi pia si jambo jipya kwani ipo kwenye ilani ya CUF tokea mwaka 2000. Wala hakuna ubaya wa kuwepo tena kwenye ilani ya Chadema, na kama Waziri Mkuu katangaza kushughulikia sual la katiba, huoni kuwa ni jambo jema na sifa kwa Chadema kwa kuwa ni ilani yao imepewa kipaumbele? Tatizo ni nini hapo?

Tatizo ni kuwa wao ni mahodari wa kudandia hoja halafu mwisho wa siku wanatekeleza kwa manufaa yao si ya walalahoi wa nchi hii. Mara moja hii umesahau walivyo idandia vita zidi ya mafisadi na wakaipigana kivyaovyao si mliona matokeo ya vita hiyo. Sasa na katiba ndio hiyo wanaidandia tusipochukua tahadhari itawekewa vilaka vya jeans wakati yenyewe ni kaniki tena iliyochakaa.
 
Yaani wewe akili yako ni ndogo sana, Pinda kama ulimsikiliza vizuri alisema wataangalia kuyafanyia kazi mambo yanayolalamikiwa, maana yake ni kwamba swala la kuandikwa katiba mpya halipo watakachofanya ni kuweka viraka. Na kama nilivyokwisha kusema hivyo viraka watakavyo viweka bado vitakuwa vinapendelea CCM. CCM kamwe hawatajichimbia kaburi lao. Katiba nzuri iliyozingatia matakwa ya wananchi italetwa na chama tofauti na CCM. NAOMBA UYANUKUU MANENO YANGU HAYO.

Mkuu kama umemsikiliza vizuri Pinda kasema kuundwe jopo la katazama katiba irekebishwe vipi? Hilo jopo ndio litatowa mapendekezo. Kuna nchi zina katiba leo inazidi miaka 150 hufanyiwa marekebisho kuendana na wakati na si lazima kuunda katiba mpya, lakini, ikiwa hilo jopo litaloundwa likiona kuwa kurekebisha katiba iliyopo kwa manufaa yua umma waTanzani ni kuwa na katiba mpya, basi sidhani kama kuna ubaya hapo.

The point is, kwa nini tupoteze wakati kuongelea katiba wakati its the thing of the past, sasa ni wakati muafaka wa kuongelea na kupendekeza jopo la kupitia katiba liwe vipi.

Nna uhakika kuwa kabla Mnyika hajafikisha hoja yake bungeni jopo litakuwa limeshaundwa na akiifikisha hiyo hoja yake bungeni itakuwa ni kichekesho na itatupiliwa mbali. Kama jopo likisha undwa, hiyo hoja yake itakuwa na faida gani? Au ni chokochoko za kutaka kuleta vurugu?
 
Mbona kachelewa sana, Mheshimiwa Pinda kisha Tangaza kuunda tume ya Katiba, sasa hoja binafsi ya Mnyika na hoja ya Serikali iliotangazwa na Waziri Mkuu ipi yenye nguvu? Anataka kupoteza muda wa kujadili mambo muhimu, hili tayari linafanyiwa kazi. Mijitu mingine hata sijui huwa ina fikiri kinyume-nyume, siielewi.

..Acha kuwa mbumbumbu mzungu wa reli.....ni mambo mangapi yameahidiwa na serikali nje ya mstari na hayakufanyika????..

Bunge ndio chombo pekee chenye uwezo wa kulitole kauli suala la katiba na kuipa kauli uzito.......ningemuelewa muheshimiwa pinda kama angetoa ile kauli bungeni na ikapitishwa kama azimio la bunge....!!!..ndio mahali pale....

Hatari ya kuacha bila kupitisha hili azimio bungeni ni moja....serikali wana favour zaidi mabadiliko ya katiba ....[yaani kuweka viraka]....wakati mahitaji ya sasa yanataka katiba mpya itakayohusidha maoni ya wananchi.....ni aibu sana kuwa hadi sasa tunatumia katiba tuliyoridhi Lancaster house ...amabayo kwa nyakati tofauti tumeendelea kuiwekea viraka viraka......wakati tunapata uhuru tulikuwa milioni 6 ...leo tupo milioni 42..na tuna elimu na uelewa zaidi..ni muhimu tutunge katiba inayoendana na wakati tulionao na ujao!!!
 
Hata Kikwete alisema kama kuna mazuri kutoka kwa upinzani kwa nini tusiyatimie. Kama ipo kwenye ilani ya chadema basi pia si jambo jipya kwani ipo kwenye ilani ya CUF tokea mwaka 2000. Wala hakuna ubaya wa kuwepo tena kwenye ilani ya Chadema, na kama Waziri Mkuu katangaza kushughulikia sual la katiba, huoni kuwa ni jambo jema na sifa kwa Chadema kwa kuwa ni ilani yao imepewa kipaumbele? Tatizo ni nini hapo?

Tatizo ni kwamba (kwa maoni yangu) wewe umesema Mnyika anapoteza muda kwa kupeleka Bungeni suala ambalo waziri mkuu ameishalitolea tamko (ahadi). Je ahadi yake isipotekelezwa itakuwaje? Nani atafuatilia kuhakikisha alichokitamka Pinda kitafanyiwa kazi? Kupeleka hoja hii bungeni ni approach muafaka kwani bunge linaweza kuunda kamati ya kushughulikia katiba mpya na ikimaliza seriakali inashurutishwa kuikubali katiba mpya. Maneno ya Pinda yanahitaji msukumo ili hapo baadae serikali isije kusema haikuwa na muda wa kutosha kushughulikia katiba mpya lakini walikuwa na utashi. Kumbuka tunataka katiba mpya kabla ya uchaguzi ujao 2015.

Tiba
 
..Acha kuwa mbumbumbu mzungu wa reli.....ni mambo mangapi yameahidiwa na serikali nje ya mstari na hayakufanyika????..

Bunge ndio chombo pekee chenye uwezo wa kulitole kauli suala la katiba na kuipa kauli uzito.......ningemuelewa muheshimiwa pinda kama angetoa ile kauli bungeni na ikapitishwa kama azimio la bunge....!!!..ndio mahali pale....

Hatari ya kuacha bila kupitisha hili azimio bungeni ni moja....serikali wana favour zaidi mabadiliko ya katiba ....[yaani kuweka viraka]....wakati mahitaji ya sasa yanataka katiba mpya itakayohusidha maoni ya wananchi.....ni aibu sana kuwa hadi sasa tunatumia katiba tuliyoridhi Lancaster house ...amabayo kwa nyakati tofauti tumeendelea kuiwekea viraka viraka......wakati tunapata uhuru tulikuwa milioni 6 ...leo tupo milioni 42..na tuna elimu na uelewa zaidi..ni muhimu tutunge katiba inayoendana na wakati tulionao na ujao!!!

Sawa mie mbumbumbu kama utakavyo wewe, lakini, nakuhakikishia kuwa Jopo la marekebisho ya katiba litaundwa kabla la Mnyika kuipeleka hiyo hoja yaje bungeni na ikifika itakuwa ni kichekesho, kama haijatupiliwa mbali itajadiliwa na kukubaliwa kuwa tumeikubali na jopo linfanyia kazi haya unayoyataka wewe kwa hiyo ahsante sana kwa hoja nzuri. Kwisha kazi. Unafikiri kuna zaidi ya hapo? Tukiwa hai utanikumbuka kwa haya nnayo kueleza.
 
Mkuu kama umemsikiliza vizuri Pinda kasema kuundwe jopo la katazama katiba irekebishwe vipi? Hilo jopo ndio litatowa mapendekezo. Kuna nchi zina katiba leo inazidi miaka 150 hufanyiwa marekebisho kuendana na wakati na si lazima kuunda katiba mpya, lakini, ikiwa hilo jopo litaloundwa likiona kuwa kurekebisha katiba iliyopo kwa manufaa yua umma waTanzani ni kuwa na katiba mpya, basi sidhani kama kuna ubaya hapo.

The point is, kwa nini tupoteze wakati kuongelea katiba wakati its the thing of the past, sasa ni wakati muafaka wa kuongelea na kupendekeza jopo la kupitia katiba liwe vipi.

Nna uhakika kuwa kabla Mnyika hajafikisha hoja yake bungeni jopo litakuwa limeshaundwa na akiifikisha hiyo hoja yake bungeni itakuwa ni kichekesho na itatupiliwa mbali. Kama jopo likisha undwa, hiyo hoja yake itakuwa na faida gani? Au ni chokochoko za kutaka kuleta vurugu?

Mkuu,

Jopo halipashwi kuundwa na serikali ya CCM kwani bado jopo litakuja na katiba yenye kulalia kwa watawala. Ni vizuri ikaundwa kamati ya bunge ambayo itakuwa na composition ya wapinzani ili tuje na mapendekezo ya katiba yenye kukidhi matakwa ya watanzania wote. Hilo jopo unalolizungumzia wewe kitakuwa ni kiini macho na linaweza kufika mahali likasema muda ni mfupi hivyo kuja na mapendekezo baada ya kuipitisha katiba baada ya uchaguzi wa 2015.

Tiba
 
Yaani wewe akili yako ni ndogo sana, Pinda kama ulimsikiliza vizuri alisema wataangalia kuyafanyia kazi mambo yanayolalamikiwa, maana yake ni kwamba swala la kuandikwa katiba mpya halipo watakachofanya ni kuweka viraka. Na kama nilivyokwisha kusema hivyo viraka watakavyo viweka bado vitakuwa vinapendelea CCM. CCM kamwe hawatajichimbia kaburi lao. Katiba nzuri iliyozingatia matakwa ya wananchi italetwa na chama tofauti na CCM. NAOMBA UYANUKUU MANENO YANGU HAYO.

Inawezekana akili yake sio ndogo lakini anazungumza na kuandika hivyo kwa msukumo fulani. Tunao wengi hapa jamvini!!!!

Tiba
 
DSM pre emptive tactics ni mbinu za enzi za mifumo ya chama kimoja.....your understanding is perennial na akili yako ina ncha kali sana yenye kuashiria mwisho wa mawazo.... kacheze bao na kiduku ndio linakufaa
 
Mkuu kama umemsikiliza vizuri Pinda kasema kuundwe jopo la katazama katiba irekebishwe vipi? Hilo jopo ndio litatowa mapendekezo. Kuna nchi zina katiba leo inazidi miaka 150 hufanyiwa marekebisho kuendana na wakati na si lazima kuunda katiba mpya, lakini, ikiwa hilo jopo litaloundwa likiona kuwa kurekebisha katiba iliyopo kwa manufaa yua umma waTanzani ni kuwa na katiba mpya, basi sidhani kama kuna ubaya hapo.

The point is, kwa nini tupoteze wakati kuongelea katiba wakati its the thing of the past, sasa ni wakati muafaka wa kuongelea na kupendekeza jopo la kupitia katiba liwe vipi.

Nna uhakika kuwa kabla Mnyika hajafikisha hoja yake bungeni jopo litakuwa limeshaundwa na akiifikisha hiyo hoja yake bungeni itakuwa ni kichekesho na itatupiliwa mbali. Kama jopo likisha undwa, hiyo hoja yake itakuwa na faida gani? Au ni chokochoko za kutaka kuleta vurugu?
Nikueleweshe tu kwamba kama umesoma vizuri Katiba yetu utaona kwamba inahitaji kuandikwa upya kabisa. Na kitu kama hicho hakitatokea kabisa chini ya uongozi wa CCM. Kitu kinachoniaminisha kuwa CCM haiwezi ni kwamba ukiangalia CCM unaona kabisa haiko kwa ajili ya wananchi bali iko kwa ajili ya kutawala, Mifano hai ni wakati wa uchaguzi, sehemu ambazo CCM ilishindwa ilisababisha vurugu, tumeona sasa katika chaguzi za umeya pale ambapo wapinzani wanategemea kushinda CCM inaanzisha vurugu,kupiga wabunge madiwani na nk, Ili mradi iendelee kutawala,Na CCM inajua kabisa kwamba % kubwa ya watanzania wameichoka sana CCM(HILO HALINA UBISHI). Sasa watu hao ndo tunataka watuongoze kuleta katiba mpya.To me that is total ridiculous
 
Hiyo tume unafikiri itaundwa keshokutwa? Kama kawaida ya serikali ni kupooza mijadala,sidhani na sitegemei kama hiyo tume itaundwa kwa urgency inayotakiwa..! Nice move Mnyika,isitoshe yeye anapeleka hoja kwenye chombo kikuu kinachohusika na utungaji wa sheria yenyewe, so kama kuna haja kweli na Pinda anamaanisha alichosema basi itaundwa tume huru ya Bunge ya katiba..bado hiki ni kipimo tosha kwa Pinda na Bunge lake if they are really seriuos kwnye katiba au ni funika kombe ....

GOOD perspective, kila jambo TZ kukwepa majukumu hata jambo open kama hili la katiba utasikia TUME, TUME, TUME, TUMEEEEEEEEEEEE
Jaji Nyalali tume iliyoundwa ilishapendekeza hili, bado utasikia TUME, just viongozi kukwepa commitments za msingi for an open issue na ku waste time, walau wangetekeleza tume zinavyopendekeza, yaani hawa ndio viongozi kweli hasira zinanijaa, PM anasema tena tume, aaaaahhhhhrrrrr
 
Usihukumu kabla ya kujua kinachokusudiwa! Hakuna asiyejua usanii wa ccm, Kombani alidai kuwa apelekewe draft, Pinda anadai eti anataka akamshauri JK, Makamba atatokea atadai kivyake, Chiligati, Kinana, Salma (sijui amepotelea wapi mama yetu) vile vile! Miaka 5 itaisha patupu kama ahadi hewa nyingine tulizopewa! Acheni basi watu wenye nia njema na nchi yetu, akina Mnyika, kuifanya kazi hiyo!

Buchanan, tuko pamoja hapa. Sijawahi kuona uncoordinated governement kama huyu mheshimiwa. Waziri mkuu anasema yake baada ya waziri kuzumgumza utumbo siku chache kabla ya tamko la Pinda. Nafikiri suala la katiba mpya ni zito na lilipashwa lijadiliwe katika baraza la mawaziri na kuja na msimamo wa serikali kwa umma lakini sio kila mmoja anasema vyake. Hii ni aibu kwa serikali na inaonyesha ni jnsi gani wasivyokuwa makini kwa masuala mazito!!!!

Tiba
 
Hata Kikwete alisema kama kuna mazuri kutoka kwa upinzani kwa nini tusiyatimie. Kama ipo kwenye ilani ya chadema basi pia si jambo jipya kwani ipo kwenye ilani ya CUF tokea mwaka 2000. Wala hakuna ubaya wa kuwepo tena kwenye ilani ya Chadema, na kama Waziri Mkuu katangaza kushughulikia sual la katiba, huoni kuwa ni jambo jema na sifa kwa Chadema kwa kuwa ni ilani yao imepewa kipaumbele? Tatizo ni nini hapo?
Hivi siye wewe uliyesema katiba kwa Tanzania haiwezekani hata kwa miaka 100 leo umebadilika, ila sioni ajabu kwa sababu nilijua unajifurahisha tu, taratibu mmoja mmoja mnaanza kuongea lugha ya wengi na kuona upepo wa nguvu ya umma, mlidhani CDM inatania.
 
I would like to see the details, but at least they are giving a true policy wonk (Mnyika) the job. I would hate to see this go to a politico ( Zitto) or some other simpleton.

Mnyika tunajua unaweza kufanya kazi za uchambuzi kisomi, usiwape mwanya hata mdogo.

Kila siku nimekuwa nikiwa lambast CHADEMA kuacha theatrics za kutomtambua rais, na badala yake kufanya kitu concrete kinachoweza kuleta mabadiliko kisheria.

Kwa hoja hii, wanaweza kuleta tofauti, au hata wasipofanikiwa wanaweza kutuambia walileta kitu bungeni.
 
I would like to see the details, but at least they are giving a true policy wonk (Mnyika) the job. I would hate to see this go to a politico ( Zitto) or some other simpleton.

Mnyika tunajua unaweza kufanya kazi za uchambuzi kisomi, usiwape mwanya hata mdogo.

Kila siku nimekuwa nikiwa lambast CHADEMA kuacha theatrics za kutomtambua rais, na badala yake kufanya kitu concrete kinachoweza kuleta mabadiliko kisheria.

Kwa hoja hii, wanaweza kuleta tofauti, au hata wasipofanikiwa wanaweza kutuambia walileta kitu bungeni.

Kutomtambua Rais wewe unaweza kuita ni "theatrics" lakini it is a very powerful political tool. Kwa taarifa yako, Kikwete na CCM waliumizwa sana na kitendo kile. Ndiyo kimewapa CHADEMA leverage mpaka CCM wakaamua sasa kusema wako tayari kusikiliza kilio cha katiba mpya iwapo CHADEMA itamtambua Kikwete.

Pia, kwa maoni yangu, hii hoja nadhani ingepelekwa Bungeni na Tundu Lissu badala ya John Mnyika. Tundu Lissu ndiye chief whip wa upinzani, hivyo aipeleke hoja hii Bungeni on behalf of kambi nzima ya upinzani. Si Mnyika kama mbunge mmoja. Pia Tundu Lissu is a brilliant lawyer na anaweza kui-frame na kui-defend vizuri zaidi hoja hii.

Ila nimjuavyo Spika Anne Makinda aliyewekwa madarakani na Rostam Aziz ataitupilia mbali hoja hii. Atasema, na nina bashiri, "Kwa kuwa Mh. Waziri Mkuu ameshatoa kauli kuhusu hili jambo na serikali kutoa ahadi ya kushuhulikia matakwa ya katiba mpya, basi hoja hii ya Mh. John Mnyika haina nafasi. Tuiachie serikali ifanye kazi yake."
 
Mbona kachelewa sana, Mheshimiwa Pinda kisha Tangaza kuunda tume ya Katiba, sasa hoja binafsi ya Mnyika na hoja ya Serikali iliotangazwa na Waziri Mkuu ipi yenye nguvu? Anataka kupoteza muda wa kujadili mambo muhimu, hili tayari linafanyiwa kazi. Mijitu mingine hata sijui huwa ina fikiri kinyume-nyume, siielewi.

Tume ya Katiba maana yake nini?

Mara nyingi sana kauli za Peter Pinda uwa zimekaa kiutata sana - To me is just a zombie!

Mashangingi! Albinism! na sasa Katiba?
 
Mbona kachelewa sana, Mheshimiwa Pinda kisha Tangaza kuunda tume ya Katiba, sasa hoja binafsi ya Mnyika na hoja ya Serikali iliotangazwa na Waziri Mkuu ipi yenye nguvu? Anataka kupoteza muda wa kujadili mambo muhimu, hili tayari linafanyiwa kazi. Mijitu mingine hata sijui huwa ina fikiri kinyume-nyume, siielewi.

pinda kasema atamshauri raisi,if possible aunde jopo la mchakato wa katiba.
 
Mbona kachelewa sana, Mheshimiwa Pinda kisha Tangaza kuunda tume ya Katiba, sasa hoja binafsi ya Mnyika na hoja ya Serikali iliotangazwa na Waziri Mkuu ipi yenye nguvu? Anataka kupoteza muda wa kujadili mambo muhimu, hili tayari linafanyiwa kazi. Mijitu mingine hata sijui huwa ina fikiri kinyume-nyume, siielewi.

Kama ulimsikiliza vizuri WM hakutangaza kuunda Tume. Alisema atamshauri Bwana Mkubwa ili aunde Tume ya wataalam kuangalia maeneo (sio katiba yote) gani yanahitaji marekebisho a.k.a viraka.
Kama Pinda ana nia ya dhati basi atampa support JJ bungeni na si vinginevyo.
Tanzania inahitaji katiba mpya
 
Bunge lililopota lilipitisha maazimio, yale ya mwakyembe au vipi wadau? Serikali iliyafanyia kazi?

Again, composition ya bunge hili jipya ikoje?

Sio mbaya kwa mbunge kupeleka hoja binafsi, lakini pia bila ya kushirikisha vyama vyengine vya upinzani, nafikiri si uamuzi wa busara. CHADEMA wanataka kuitumia hii hoja ya katiba kujipa ujiko. Ni vizuri wakatambua mapema. CHADEMA as Chadema stand no chance katika bunge lenye wingi wa wabunge kupitia CCM. Kama maslahi ni chama first!

Katiba si suala la kichama, wadanganyika wenzangu tulitambue hilo. Tunahitajika kuwapressure CHADEMA kutanua wigo wa wadai na kuwashirikisha katika kila hatua kama wao wameshajichaguwa kuwa vinara wa suala hili.
 
Hongera Mnyika, serikali inataka kurudia makosa yaleyale ya kuifanya katiba kuwa ni mali ya serikali, matatizo mengi yanayotokea sasa likiwemo la muungano yalitokana na serikali hasa viongozi kuhodhi mambo yaliyotakiwa kufanywa na umma chini ya bunge.

Serikali wao waendelee na tume yao lakini sisi wananchi tuna tume yetu ambao ni wabunge wasitake kuturudisha tunakotaka kujiondoa.

Serikali isiingilie kabisa katika suala la maoni, kwa vile katiba ni mkataba kati ya watawala na watawaliwa serikali itakuja kutoa mchango wake kama mjumbe tu na si kuchukulia kuwa katiba ni mali yake.

Kumwachia rais pekee kutoa uamuzi wa tume kuhusu katiba ni ukiukwaji wa uhuru na haki za msingi za binadamu.
 
Kutomtambua Rais wewe unaweza kuita ni "theatrics" lakini it is a very powerful political tool. Kwa taarifa yako, Kikwete na CCM waliumizwa sana na kitendo kile. Ndiyo kimewapa CHADEMA leverage mpaka CCM wakaamua sasa kusema wako tayari kusikiliza kilio cha katiba mpya iwapo CHADEMA itamtambua Kikwete.

Pia, kwa maoni yangu, hii hoja nadhani ingepelekwa Bungeni na Tundu Lissu badala ya John Mnyika. Tundu Lissu ndiye chief whip wa upinzani, hivyo aipeleke hoja hii Bungeni on behalf of kambi nzima ya upinzani. Si Mnyika kama mbunge mmoja. Pia Tundu Lissu is a brilliant lawyer na anaweza kui-frame na kui-defend vizuri zaidi hoja hii.

Ila nimjuavyo Spika Anne Makinda aliyewekwa madarakani na Rostam Aziz ataitupilia mbali hoja hii. Atasema, na nina bashiri, "Kwa kuwa Mh. Waziri Mkuu ameshatoa kauli kuhusu hili jambo na serikali kutoa ahadi ya kushuhulikia matakwa ya katiba mpya, basi hoja hii ya Mh. John Mnyika haina nafasi. Tuiachie serikali ifanye kazi yake."


Kutomtambua rais ni theatrics tu, especially kama mnasema hamumtambui rais wakati hapo hapo mnapigia kura pendekezo lake la Waziri Mkuu.

Kwa Mnyika, my neglected words are "at least". I would hate to see this go the way of Zitto's ethics bill, which is a very real possibility as you pointed out, this time it seems CCM will not need a Marmo or the machination of a Kingunge, just the brute force of Makinda.

CHADEMA cannot say they were not warned, they had better arrange this with the proper counter arguments.
 
Back
Top Bottom