Misterdennis
JF-Expert Member
- Jun 4, 2007
- 1,741
- 480
Hizi ni tetesi so far. Hazina source yoyote ambayo ni credible ya kutuaminisha kwamba ni kweli.
Kwa mfano mweka maada anesema kuwa RA ana hisa 65% ktk voda TZ, ambayo imeonyweshwa kwamba sio kweli.
Hii tu yatosha ku cast doubt kwenye taarifa nzima aliyoiweka hapa.
Njoo na taarifa zenye uhakika ili tuweze kujadili.
Kwa mfano mweka maada anesema kuwa RA ana hisa 65% ktk voda TZ, ambayo imeonyweshwa kwamba sio kweli.
Hii tu yatosha ku cast doubt kwenye taarifa nzima aliyoiweka hapa.
Njoo na taarifa zenye uhakika ili tuweze kujadili.