Anakaa uchi alafu unasema nimenyamaza, ni akili yako kweli! au kale kapepo kamekuvaa? tusiache kuzigundua hila za shetani.
Iko hivi, shetani anaanza kukuonyesha picha, baadae ataanza kukuhubiria, hicho unachokiona kitaanza kuimba ndani yako.
Msichana wa wangu alikuwa hivyo, mara anavaa nguo...