Recent content by Patrolman

  1. P

    Nateseka na wanangu, wasamaria wema nisaidieni nipate pa kuishi na mtaji wa genge

    Hii ni kuonyesha kuwa jamii forum inazidi kukuwa na kuaminika kwa jamii, jamani maisha hasa dsm ni zaidi ya vita. Mfano pita kariakoo usiku uone idadi ya watu wanalala kwenye makorido kuna haja ya wenye uwezo kuwasaidia wasio na uwezo. Napendekeza pia jamii forum kuanzisha na kuratibu jukwaa la...
  2. P

    CRDB ichunguzwe kunatatizo kubwa sana mahali,

    Hii ya kuanza kukatwa malipo ya mkopo kabla ya kupata mkopo mbona ni uzembe wa hali ya juu! Crdb bank ifanyieni kazi hii.
  3. P

    Rais Magufuli amsimamisha kazi Mkurugenzi Muhimbili

    Ni nzuri, lakini Asisahau kuwawajibisha katibu waziri wa wizara husika na katibu wake.
  4. P

    Kukumbuka na kusahau

    Kwa kawaida binadamu wote tumeumbwa kwenye hii hali, ya kukumbuka vitu na kuvisahau. Huu uchaguzi wa mwaka huu utanichukua muda mrefu sana kuusahau. Inauma lakini hakuna namna. Hii inanikumbusha mwaka 1993, wakongwe na mashabiki wa mpira wanaweza kukumbuka ni fainali ya mpira wa miguu kati...
  5. P

    The less you know, the happier you are!

    Nimeumia sana, mm nahisi kuna baadhi ya watu wanashindwa kuhusianisha siasa na maisha.
  6. P

    Kimara Mwisho: Majambazi wavamia maduka

    Juzi usiku majambazi kama kumi hivi wakiwa na bunduki walivamia maduka Kimara Mwisho na kupora watu fedha na vifaa kama vile simu na vocha.Tukuo hilo lilichukua kama dk 5 hivi.
  7. P

    Inakuaje watu wanapendandana kabla ya ndoa lakini wakiingia ndani ni ugomvi?

    Binadamu yeyote yule ana tabia ya kutamani vitu lakini anapovipata na kuvitumia kwa muda fulani vitu hivyo humkinai hii kitu iko natural. Mfano nguo, nyumba, magari, chakula na nk. Hali hiyo pia hutokea kwenye ndoa yaani unamkinai mwenzio. Kama ingekua inawezekana wanandoa wangepaswa kupeana...
  8. P

    Ile namber ya kuzuia ajali

    Kuna ile no huwa inatolewa na jeshi la polisi ili kusaidia kupunguza ajali. Mm nashauri no ile ibadikwe kwenye kila basi la abiria, pia zile speed meter moja iwekwe huku kwa abiria ili dereva akizidisha speed abiria wanaona na kutoa taarifa nadhani hii itasaidia kidogo.
  9. P

    Vitabu vinauzwa

    Nafunga biashara, vitabu kuanzia chekechea mpaka chuo. 0715266129.
  10. P

    Hodi mpaka ndani

    Asante Cute.
  11. P

    Natamani sana kuuza magazeti

    Ni rahisi. Chukua gazeti lolote lile mara nyingi huwa wanaandika ndani majina ya wahusika idara zao na no za simu or email. Hapo utapata no za watu wa idara ya masoko na usambazaji, wapigie watakuelewesha.
  12. P

    Biashara ya vitabu

    Habari wana JF. Napenda sana kufanya biashara ya kuuza vitabu( book shop). Nahitaji kujua mbinu, changamoto, ushauri na masoko.
  13. P

    Ushauri: Nataka kujenga kwa mkopo wa Tsh 40,000,000/=

    Kwa nyumba ya vyumba vitatu, sitting room, dining, jiko na vyoo vya ndani pesa hiyo inatosha. Ila lazima uisimamie mwenyewe. Ila kubaki hela nina mashaka sana sana unaweza ukaongeza.
  14. P

    Hodi mpaka ndani

    Habari wana JF, Naomba mnipokee.
Back
Top Bottom