Recent content by patrick87

  1. patrick87

    Mapenzi yananitesa: Mpenzi wangu anapenda sana kununa

    Labda anaendeshwa na kabangi.
  2. patrick87

    Jenerali Ulimwengu na familia yake wamtembelea Lissu Nairobi

    Jambo la maana sana. Ndo maan maendeleo yake yanakuw mazur kwasababu anafarijika kutembelewa.
  3. patrick87

    Mume wangu hataki kunyoa nywele za sehemu za siri

    We mnyoe tu wivu weka pemben. Mbn ww ndo unapata shida.
  4. patrick87

    Mapenzi yananitesa: Mpenzi wangu anapenda sana kununa

    Kuna kitu ambacho kinamsumbua kuhusu ww. May be ukichunguza ipo siku utagundua. Hafurah uwepo wako ila kakosa kisingizio
  5. patrick87

    Vijana zaidi ya 3,000 warudishwa nyumbani baada ya kumaliza mafunzo ya JKT kwa kujitolea, wakosa ajira

    Siyo mby watajiajir sector binafsi. Ikishindikan wachukue jembe na panga waingie shamban maan wamejifunza mambo mengi.
  6. patrick87

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    God is Good. Its another year
  7. patrick87

    Faida na hasara za kuoa mwanamke msomi na mwenye kazi na kipato kizuri

    Mke mwema hapatikan kwa kuangalia kiwango cha elimu. ...ila ukibahatika kumpata mwenye akil maisha yataenda vzur maan ni waelewa san. Ukiow ambaye ajui kuchezesha akil na ukakosa uvumilivu aman ktk ndoa itakuwa vgum kuipata maan lawama zitatawala
  8. patrick87

    Kwa mtu mwenye HIV, Ni dalili gani za kwanza humpata, na huonekana baada ya muda gani?

    Tezi Tezi zitavmba sehem mbalimbal za mwil ili kuwafilter hao wageni so vtu kama vile homa kikooz vnaweza jitokeza.
  9. patrick87

    Dada zangu na Kaka zangu please nisaidieni nipo kwenye Dillema.

    Usiogope kama unamalengo naye subir hakun awezaye kutenganisha upendo wa wawil. Ata maandiko yanasema ataachana nao wote aje kwako. Ameogopa tu vtsho vya mkubwa kwa sasa
  10. patrick87

    Aliyempiga Tundu Lissu risasi zaidi ya 30 hivi sasa anatubu kwa Mola wake!

    Kuwa hakim kunahitaji ulinzi wa kimwil na roho. Lisu cku yake ilikuwa bado hapo walipo wanataman wakammalizie huko huko japo hawawez.
  11. patrick87

    Sifa za wanaume warefu kuanzia futi 6 na kuendelea

    Kila kitu kina faida na hasara zake...namaanisha kuwa chin ya juwa hakun kilichokamilika. Aliumba warefu na wafupi ndo maan wote wanawakuwapenda.
  12. patrick87

    Ili Tanzania iwe nchi ya viwanda nini kinahitajika?

    Kilimo na umeme ndio nguzo mkuu
  13. patrick87

    Masada wa namna ya kujiondoa kwenye facebook

    Kwann unataka kujiondoa?
  14. patrick87

    USHUHUDA: Nilizaliwa na Virusi vya UKIMWI

    Endeleakumtegea Mungu zingatia dawa kukwepa magonjwa nyemelezi yaletayo mauti.
Back
Top Bottom