Sijakubaliana na wewe kwani huduma za jamii nyingine mbona zinauzwa na hujasema? Huu ni uchumi mchanganyiko na kuna nyanja ya serikali na binafsi,ili ufanisi katika huduma upatikane .Serikali ipo kufanya uangalizi na kukusanya kodi tu,sasa ilaumu serikali kwa kutofanya uangalizi mzuri na sio...
Wanajukwaa wazima?
Mi mzima nauliza kama ulifaulu NABE |,NABE || na NABE |||.Pia una vyeti vyote vitatu.na O level ulisoma commerce na bookkeeping ukaifaulu vizuri ,pia A level ukawa umesoma ECA na kufaulu vizuri pia.Je kwa vigezo hivo ukienda kufanya CPA(T) unaanzia hatua (level) ipi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.