Recent content by patano

  1. patano

    Mbunge Abood atoa Ambulance na kugawa maelfu ya Barakoa mji mzima ili kuwakinga Wananchi na Corona

    Hivi moshi vijijin tulimkosea nin mungu kwa kutupa mbunge usiyejali watu wake hasa kwa kipindi hichi kigumu tunachopitia..anyway miezi michache imebaki tutapata suluhisho Sent using Jamii Forums mobile app
  2. patano

    GE2020 James Mbatia the next KUB Can make the Best than ever before

    Sisi wananchi tumemchoka Mbatia , tunajuta kwa kumchagua, E mwenyezi mungu utuongoze na utusaidie tusije rudia makosa kama tuliyoyafanya 2015. Sent using Jamii Forums mobile app
  3. patano

    GE2020 James Mbatia the next KUB Can make the Best than ever before

    Ndio maana unaambiwa huna hoja za msingi...kwani kuishi kigoma utashindwa kujua matatizo ya songea kama wew ni mzaliwa wa pale. Fikisha ujumbe kwa aliyekutuma kuwa Watu wamemchoka hana jipya ubunge asahau kabisa Sent using Jamii Forums mobile app
  4. patano

    GE2020 James Mbatia the next KUB Can make the Best than ever before

    Acha kuleta tarifa zo wongo hapa..wewe ilishatembelea jimbon kwake ukaona matatizo yalivyokuwa mengi, kwa tarifa yako hata akija kugombania udiwani hapati, kwa kifupi tumemchoka. Hana alichokifanya tangu apewe fursa ya ubunge. Mwambie tumemchoka. Mfikishie ujumbe kwamba barabara ya Mandaka...
  5. patano

    Naibu waziri wa Mambo ya Ndani Hamad Masauni na Ramadhani Kailima watinga TAKUKURU kuhojiwa

    Baada ya wiki boss wa TAKUKURU akaja kwa fujo kuwa upelelez umekimilika hivyo wiki ijayo kangi na mwenzake watafikishwa mahakaman....kkmyaaaaa hadi leo Sent using Jamii Forums mobile app
  6. patano

    Maajabu Africa nzima yapo Tanzania tu

    Nimemkumbuka marehemu mzee Mengi. Kipindi hiki angetumia huruma yake. R.i.p mzee mengi Sent using Jamii Forums mobile app
  7. patano

    Mke mbishi ndani ya nyumba

    Utatamani uache nyumba uondoke Sent using Jamii Forums mobile app
  8. patano

    Nodius Rwegoshora: Ansbert Ngurumo acha kupotosha kuhusu viongozi wa CHADEMA wanaohama

    Mlete mada umekaa umekaaa ki..kk Sent using Jamii Forums mobile app
  9. patano

    Majirani zangu wameanza kununa

    Emungu tusaidia huyu Corona atoweke wanafunzi warudi mashuleni waache kutuletea stori za kitoto.amen Sent using Jamii Forums mobile app
  10. patano

    Wizi wa magari Dodoma

    Bonge la wazo Sent using Jamii Forums mobile app
  11. patano

    Q Chillah : Mwana FA acha utoto

    Mleta mada...mtu wa majungu na fitina. Kuwa mzee wa busara Sent using Jamii Forums mobile app
  12. patano

    Kuacha hela ya matumizi. Je, wazungu wanafanya hivi?

    Asante kwa kuona mbali Sent using Jamii Forums mobile app
  13. patano

    Huwa unafanya nini akisema yupo njiani anakuja?

    Umewaza mbali..maaana hawachelew kukufilis Sent using Jamii Forums mobile app
  14. patano

    Arumeru: Mtuhumiwa wa mauaji ya msaidizi wa kazi afikishwa Mahakamani chini ya ulinzi wa Polisi. Atakiwa kutojibu chochote

    Naunga mkono hoja uchunguz ufanyike wa kina, je video alikuwa akichukua nan Sent using Jamii Forums mobile app
  15. patano

    TIC, TAN-TRADE, EPZA, TTB & BRELA: Mrundikano wa Taasisi zinazofanya kazi zinazofanana

    Wanatumia nusu walichozalisha Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom