Interest
JF-Expert Member
- Apr 11, 2015
- 3,433
- 7,055
- Thread starter
- #41
Naomba nikusahihishe mkuu.Hebu sema tofauti ya alichofanya Devotha na alichofanya huyo Mbunge ni ipi?!
Simply, wewe ni shabiki wa mbunge, na wale walikuwa mashabiki wa Devotha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni mshabiki wa jambo jema lolote linalofanywa.
Nilichokifanya ni kuweka ukweli dhidi ya upotoshaji uliokuwa ukifanywa mwanzo na mashabiki wa Devota kumdhihaki Abood kuwa hajafanya chochote, wakati ndiye alitangulia kuwahami wananchi wa Morogoro kabla yake.
Yaani mama kutoa barakoa elfu 5 tu basi vurugu tupu na matusi juu, wakati jamaa alitangulia kutoa vitu vyote hivi na hakutaka mbwembwe!