Dumuzii
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 3,601
- 8,704
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nikupe mfano. Hii rangi ni ya sebureni na hii ya nje,anabisha.fundi anapaka kishingo upande.Baadae watu wanakuja wanaanza kusema mbona rangi ya nje mmepaka ndani na ya ndani mmepaka nje.
Inabidi muingie gharama nyingine.
Sent using Jamii Forums mobile app