Recent content by pastor wa JF

  1. P

    Sera za CCM dhidi ya Sera za CHADEMA

    Mtoa mada kunywa pepsi mkubwa wao nakuja kulipa
  2. P

    Kigoma Kigoma hodi, wiki nakuja huko, nipokeeni

    Asante ndugu Sent using Jamii Forums mobile app
  3. P

    Kigoma Kigoma hodi, wiki nakuja huko, nipokeeni

    Shalom Shalom. Nategemea kuja huko wikend hii. Naomba mtu anaejua maeneo yenye kanisa lenye upako anielekeze ili nikajumuike siku siku ya Jumapili. Mbarikiwe wote Sent using Jamii Forums mobile app
  4. P

    UTHIBITISHO: Bwana Mkubwa anajua kabisa, Vijana hatumpendi na anatusulubu kwelikweli

    Wazee wanaongoza kwa kusinzia wakiwa wanaendesha gari
  5. P

    Ushauri, Sasa Siri zote zimejulikana, mke kamata meseji zote kati yetu

    Sasaiv shetani anakucheckishia pembeni anasema hiiiiii
  6. P

    TPL: Simba SC vs Yanga SC - Sept 30, 2018 (FT: 0-0)

    Naomba wakianza unitag[emoji3]
  7. P

    NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Thanks,but umeconclude vibaya. Ulitakiwa uconclude baada ya kuwa umeniuliza hayoyote na kuona jinsi ninavyokujibu sababu sio busara kuelezea yote publicly niliyokutatana nayo.
  8. P

    NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    NMB Tanzania tawi la Kibondo, Kigoma nashauri kitengo cha mikopo wabadilishwe staff sababu hawawezi kukuruhusia mkopo kama hujawapatia kuanzia 50k to 100k, na ukileta ubishi utasota mpka ile kwako, this is unacceptable kwa hii awamu
  9. P

    Walevi tupo makini kinoma!!

    Aisee we mrevu sugu
  10. P

    KUTUMIWA PESA KIMAKOSA!

    Last month nilienda kutoa pesa kwenye banda la M-PESA nikazidishiwa elfu tano,nilivyohesabu nikaona inazidi ikabidi niimrudishie, alinishangaa sana mpka naondoka bado ananitazama tu
  11. P

    Hii ni trela ya kampeni za CCM 2020. Wapinzani mkae mkao wa kupigwa.

    Haiwezi kutokea, lazima watawala watoe nafasi za ushindi ili kuwalaghai wahidani wa maendeleo
Back
Top Bottom