Ingia Google andika www.getintopc.com then select 3D CAD, baada ya hapo utaziona AutoCAD Kama zote kuanzia 2004. Ila chukua kuanzia ya 2013 na kuendelea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tupo wengi sana, cha muhimu ni kutokukata tamaa kuna njia ya operation inaitwa "cochlear implant". Hii inatatutua tatizo lote, ila gharama. Na matibabu yake hadi ulaya au marekani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana,pia niliiona software inaitwa "tinkerCAD" nayo ina kuwezesha kufanya simulation.em nianze kuzisoma taratibu halafu nitatumia nitakayoipenda na kuielewa kirahisi.
Mimi nimejifunza arduino,ila ishu ipo kwenye circuit design.
Je unaweza pendekeza namna bora ya kuweza kumudu vema "circuit design" japo kwa mbinu tofauti tofauti au kama unakifahamu kitabu kinachoelezea kwa ufasaha juu ya circuit design nitashukuru.
Darasani tulipewa mitihani tukaambiwa tunapimwa uelewa wa Kile tulichojifunza,sasa mungu akupe mtihani wa magonjwa anakupima nn
Usiutumie ujinga wako vibaya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mathayo 6:24-26
"Hakuna mtu anayeweza kuwatumikia mabwana wawili,kwasababu ama atamchukia mmoja na kumpenda mwingine,au atamthamini mmoja na kudharau mwingine.huwezi kumtumikia mungu na Mali."
Malezi ya kitanzania yamejisahau sana kuanzia ngazi ya familia. watoto wa kike hawajui ama wamepuuza majukumu yao.
hali hii huibeba hata ukubwani na huingia nayo kwenye ndoa,hivyo kubadilika sio rahisi.
Wanaume wa kibongo ni kama tumekariri vile kwamba kuoa ni hapahapa nyumbani(TANZANIA) sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.