mwanzon mi nilijua kupenda sana wasichana ni ujanja nilijikuta kwenye mpira nafall, kaz nafall nikadiscus na dakitar mmoja akaniambia kuwa kiafya kufanya mapenz ni mara 3 kwa wik nikaguna wakat mi nilikuwa napumzka cku moja tu
so, mamen tusijisifie ujnga hapo tunajimalza mwenyew eti mtu anasex...
kuna mdada jiran angu anapenda sana hyo kazi maana amesoma mpaka elimu ya juu about laboratory ila andaa vyumba 5 vya kulala watoto wake namwambia akupm sasa hv
huwa naumia sana kuckia kuwa eti education ni ya waliofel,
wakati mim nimechomoka na dvsn one ya EGM then facult niliopenda ni AGRICULTURAL ECONOMICS AND AGRIBUSINES na nyingnezo. then last nikaweka education nikakuta wamenichagua ya mwshon ie eductn so, wanavosema ualim ni waliofel huwa...
Samahani wanajamvi!
Kwa wale wanaotokea na wengne Mufindi (Iringa) sijabahatika kusikiliza Mbunge wangu Mh Kigola juu ya ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami toka Nyololo hadi Sawala.
Swali langu ni, Je Mbunge huyu amechangia nin juu ya hili swala? kwa waliosikilza please help me...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.