Baki na wanao hao wawili, mwanamke aende kwa mwanaume aliyezaa naye. Ni kukosa heshima kwa mke kufanya madudu km hayo na ni aibu. Kimsingi usimpige wewe mrudishe kwa wazazi wake, wao watajua cha kufanya. Mpuuzi sana eti umri wa mimba cku hizi cyo miezi tisa. Kanikwaza sana
Ukraine hajapewa VIP membership acha kupotosha, ndo yupo kwenye hatua ya mwanzo ambayo ni Candidate status, kwa sasa Ukraine, Moldova na Georgia wako katika hatua hii ya mwanzo. Kuwa candidate inaweza chukua miaka na miaka kupata full EU Membership. Kumbuka kuna North Macedonia ana miaka 17...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.