Recent content by pascal luoga

  1. pascal luoga

    Maumivu ndani ya pua (maxillary sinus area)

    Habari wana jamii forum, nimekuja na issue moja, Kuna hili tatizo linanisumbua mwaka wa pili sasa lilianza mwaka juzi mwezi wa tatu nikaangaika nalo hadi mwezi wa 5 likawa limekwisha kabisa. Iko hivi huo mwezi wa 3 mwaka 2022 ilikuwa nikivuta mafua yaje kwa njia ya mdomo mfano( kuna time...
  2. pascal luoga

    Nimetokea kupendwa na malaya

    Kwel aiseee hili nililiona kitambo sanaaa
  3. pascal luoga

    Nimetokea kupendwa na malaya

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yamekukuta nn
  4. pascal luoga

    Nimetokea kupendwa na malaya

    Mkuu hapa ataliwa tuu hakuna wa kumweka ndani, wanawake kibao wapo hawajazaa siwez kuishi na mtu kama huyu
  5. pascal luoga

    Nimetokea kupendwa na malaya

    Nimegundua hili mapema hapa ni kula tunda tuuu
  6. pascal luoga

    Nimetokea kupendwa na malaya

    Habari wakuu, poleni na majukumu Mimi ni kijana wa makamu nimepanga na ninajitegemea pia ni mfanyabiashara... Shida iliyonileta hapa wakuu kuna msichana mrembo sana ambaye nilikuwa nafahamiana naye tangu kipindi nasoma secondari miaka karibu 10 imepita, mawasiliano yetu yalikuwa ni salamu tu...
  7. pascal luoga

    Natafuta Guest House iliyopo Kigamboni Mji Mwema

    Wakuu natumai mu wazima wa afya ndugu zangu... Natafuta guest house ya bei rahc maeneo ya karibu na Kigamboni Mji Mwema au maeneo ya Chekechea ambayo gharama ni haizidi 15000 per some hours.
  8. pascal luoga

    Msaada: Nasumbuliwa na tatizo la moyo

    Mkuu kikubwa ni maombi hakuna linaloshindikana juu ya maombi... Nikupe historia fupi ya matatizo yangu yaliyonikutaga kipondi cha miaka kadhaa iliyopita Kipindi nipo form 3 njia ya kwenda shule ilikuwa lazma nipandishe mlima, ni ilikuwa ndo njia yangu ya kila siku,kuna siku ghafla tu nikakuta...
  9. pascal luoga

    Nasumbuliwa na Tonsils (Vidonda vya koo) visivyopona

    Nilikuwa nina dalili zoote za sinutisis kasoro mafua sina ila pua zinaziba kwa kubadilisha ya kushoto na kulia kila baada ya muda uzibaji wake sio kama wa mafua makali ila nikwamba mpaka uzibe pua moja alaf ujaribu kupenga kwa hyo iliyobaki ndo unagundua imezba kwa mbali sana ila kupumua napumua...
  10. pascal luoga

    Nasumbuliwa na Tonsils (Vidonda vya koo) visivyopona

    Ahsantee mkuu nitakutafuta nakumbuka kuna siku ulinipaga elimu kwenye uzi fulani. Hivi kuna uhusiano wowote kati ya sehem za pua na hard palate?
  11. pascal luoga

    Nasumbuliwa na Tonsils (Vidonda vya koo) visivyopona

    Sawa mkuu ngoja nijaribu maana sikuwai kutumia
  12. pascal luoga

    Nasumbuliwa na Tonsils (Vidonda vya koo) visivyopona

    Habari wakuu natumai mu wazima Dhumuni la mada hii ni kuwauliz kama kuna mtu aliyewai kukumbana na changamoto ninayopitia kwa sasa... Iko hv. Huu ni mwez wa 2 na siku dhaa kuelekea miez mitatu ninatatzo linanipa changamoto kwelikweli - upande wa kulia wa pua huwa nasikia maumivu sana maeneo...
Back
Top Bottom