Recent content by pascal luoga

  1. pascal luoga

    JamiiForums Tanzania Mkopo wa malipo kwa awamu bila dhamana

    Wakuu habari zenu, naomba niulize kitu. Ni wapi au bank gani naweza kukopa zaidi ya milion 2 bila dhamana na nikalipa kwa awamu? Kwa maana siyo kila siku au kila mwezi.
  2. pascal luoga

    JamiiForums Tanzania Nafikiria kufungua biashara ya play station

    FAida umeshakula kabla hata gunia halijaisha😅😅😅😅
  3. pascal luoga

    JamiiForums Tanzania Nafikiria kufungua biashara ya play station

    Sawa kaka shukran🙏🙏
  4. pascal luoga

    JamiiForums Tanzania Nafikiria kufungua biashara ya play station

    WAnasema kwamba ni kama biashara haramu hivyo wanakuja nia yao uwape rushwa
  5. pascal luoga

    JamiiForums Tanzania Nafikiria kufungua biashara ya play station

    Habari zenu wakuuu. Nimepata pesa kiasi kadhaa ila nafikiria kufungua biashara ya play station. Ila huwa nafuatiliaga sana mitandaonj kuna vitu huwa naviona vinanikatisha tamaa kuanza hii biashara. 1.Naonaga watu wanalalamika sana kwamba ni ugomvi na kin mama kuhusu watoto wao 2.kushtakiwa...
  6. pascal luoga

    JamiiForums Tanzania Kila anayeniona "Mbona umekonda" nachanganyikiwa

    Habari wana jamii forum Nina kitu kinaniumiza sana kichwa kila mwaka. -Mimi ni kijana wa miaka 25 mwenye biashara ndogo ambayo inanisaidia kukidhi mahitaji yangu ya kila siku pamoja na mambo mbali mbali, mada iliyonileta hapa ni kwamba nina miaka 25 ila nina 57KG Ila kila siku huu ni karibu...
  7. pascal luoga

    JamiiForums Tanzania Maumivu ndani ya pua (maxillary sinus area)

    Habari wana jamii forum, nimekuja na issue moja, Kuna hili tatizo linanisumbua mwaka wa pili sasa lilianza mwaka juzi mwezi wa tatu nikaangaika nalo hadi mwezi wa 5 likawa limekwisha kabisa. Iko hivi huo mwezi wa 3 mwaka 2022 ilikuwa nikivuta mafua yaje kwa njia ya mdomo mfano( kuna time...
  8. pascal luoga

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimetokea kupendwa na malaya

    Kwel aiseee hili nililiona kitambo sanaaa
  9. pascal luoga

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimetokea kupendwa na malaya

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yamekukuta nn
  10. pascal luoga

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimetokea kupendwa na malaya

    Mkuu hapa ataliwa tuu hakuna wa kumweka ndani, wanawake kibao wapo hawajazaa siwez kuishi na mtu kama huyu
  11. pascal luoga

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimetokea kupendwa na malaya

    Nimegundua hili mapema hapa ni kula tunda tuuu
  12. pascal luoga

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimetokea kupendwa na malaya

    Habari wakuu, poleni na majukumu Mimi ni kijana wa makamu nimepanga na ninajitegemea pia ni mfanyabiashara... Shida iliyonileta hapa wakuu kuna msichana mrembo sana ambaye nilikuwa nafahamiana naye tangu kipindi nasoma secondari miaka karibu 10 imepita, mawasiliano yetu yalikuwa ni salamu tu...
  13. pascal luoga

    JamiiForums Tanzania Natafuta Guest House iliyopo Kigamboni Mji Mwema

    Wakuu natumai mu wazima wa afya ndugu zangu... Natafuta guest house ya bei rahc maeneo ya karibu na Kigamboni Mji Mwema au maeneo ya Chekechea ambayo gharama ni haizidi 15000 per some hours.
  14. pascal luoga

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nasumbuliwa na tatizo la moyo

    Mkuu kikubwa ni maombi hakuna linaloshindikana juu ya maombi... Nikupe historia fupi ya matatizo yangu yaliyonikutaga kipondi cha miaka kadhaa iliyopita Kipindi nipo form 3 njia ya kwenda shule ilikuwa lazma nipandishe mlima, ni ilikuwa ndo njia yangu ya kila siku,kuna siku ghafla tu nikakuta...
  15. pascal luoga

    JamiiForums Tanzania Nasumbuliwa na Tonsils (Vidonda vya koo) visivyopona

    Nilikuwa nina dalili zoote za sinutisis kasoro mafua sina ila pua zinaziba kwa kubadilisha ya kushoto na kulia kila baada ya muda uzibaji wake sio kama wa mafua makali ila nikwamba mpaka uzibe pua moja alaf ujaribu kupenga kwa hyo iliyobaki ndo unagundua imezba kwa mbali sana ila kupumua napumua...
Back
Top Bottom