pascal luoga
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 232
- 257
Habari wakuu, poleni na majukumu
Mimi ni kijana wa makamu nimepanga na ninajitegemea pia ni mfanyabiashara...
Shida iliyonileta hapa wakuu kuna msichana mrembo sana ambaye nilikuwa nafahamiana naye tangu kipindi nasoma secondari miaka karibu 10 imepita, mawasiliano yetu yalikuwa ni salamu tu, sikuwahi kuwa na number yako yaani ilikuwa ni mambo poa hatuna mazoea, yeye amenizidi miaka miwili ila kwa kipindi hicho kwa jinsi nilivyokuwa namuona nilikuwa kama namchukulia mtu fulani hivi ambaye hajatulia yaani wa wanaume kila kukicha ndo maana nimependa nitumie neno (malaya)
Kazi inapoanzia
Baada ya miaka 10 kupita mwezi huu mwanzoni alirudi hapa mtaan maana ni kwa ndugu yake, kwao ni Morogoro sasa kwa miaka 10 yote hyo sikujua alienda wapi.
Cha ajabu sikuwai kumpa number yangu ila alinitafuta sikumoja ili nimrekebishie simu yake nilivyomrekebishia akawa anasisitiza mara mbilimbili niisave number yake kichwani nikawa najiuliza mbona anasisitiza hivi, ikumbukwe ni msichana mrembo sana na sikuwahi kuwa na hisia naye sababu nilikuwa ninamwona ona tu hapa kwa ndugu yake kwamba ni mtu ambaye hajatulia ila siyo mwongeaji na ukimwona ni mpolee but mambo yake ya chini chini,
Siku ya pili alianza kujitumisha message za (uko wapi, umekula, polee, nakutakia kazi njema babaa ), na nyinginezo nikahisi tu hapa kuna kitu, nikawa nachat naye kila siku mwisho akaja kuniambia kwamba ni miaka 10 imepita alikuwa ananipenda tangu kipindi hicho na bado hadi leo ananipenda na alishindwa tu kusema sababu hatukuwa na mazoea, me sikumuelewa nilimuitikia kuwa hata mimi nampenda ila sikuitilia maanani na akilini mwangi nikawa najiuliza, NAWEZAJE KUPENDWA NA (MALAYA) Mtanisamee kwa hili neno ila ni sababu huyu mtu ninamfahamu tabia zake, nikawa kila siki najiuliza huu ni MTEGO ama?
Maana sina pesa za kusema nitamshawishi anipende, alikuja kunielezea kwamba amepanga anakaa hapa hapa Dar es salaam sehem (___). Pia alikuwa na mwanaume walizaa ila mwanaume akamtelekeza hivyo sasa tangu mwaka jana amepanga anakaa pekeyake mtoto yuko kwa bibi yake Hapa mtaan anakuja maramoj moja tu kutembea.
SASA
Tunda amenipa na sio kwamba mimi niliforce ila yeye alitengeneza mazingira mwenyewe ili nile hapo siwezi kuongopa, alikuwa anaforce sanaa aje kwangi siku moja tulale nikawa namkatalia mwisho nikakubali, nikajipakilia.
SASA CHA AJABU MIMI HADI LEO SIAMINI KAMA HUYU MTU ANANIPENDA KWELI AMA KUNA MTEGO HAPA KATKAT??
NA KWA SASA TUKO TUNA MWEZI KWENYE HAYA MAHUSIANO
SWALI
1.Inawezekama malaya akaja kupenda na kutulia?
2.amenizidi miaka miwili hivyo ni mkubwa kwangu je hapa sipigwi na kitu kizito kweli?
Nahitaji msaada wenu wakuu mawazo yenu ndiyo yatakayonifanya nibaki au nitoke kwenye hiki kisima wakuu.
Shukran sanaa
Mimi ni kijana wa makamu nimepanga na ninajitegemea pia ni mfanyabiashara...
Shida iliyonileta hapa wakuu kuna msichana mrembo sana ambaye nilikuwa nafahamiana naye tangu kipindi nasoma secondari miaka karibu 10 imepita, mawasiliano yetu yalikuwa ni salamu tu, sikuwahi kuwa na number yako yaani ilikuwa ni mambo poa hatuna mazoea, yeye amenizidi miaka miwili ila kwa kipindi hicho kwa jinsi nilivyokuwa namuona nilikuwa kama namchukulia mtu fulani hivi ambaye hajatulia yaani wa wanaume kila kukicha ndo maana nimependa nitumie neno (malaya)
Kazi inapoanzia
Baada ya miaka 10 kupita mwezi huu mwanzoni alirudi hapa mtaan maana ni kwa ndugu yake, kwao ni Morogoro sasa kwa miaka 10 yote hyo sikujua alienda wapi.
Cha ajabu sikuwai kumpa number yangu ila alinitafuta sikumoja ili nimrekebishie simu yake nilivyomrekebishia akawa anasisitiza mara mbilimbili niisave number yake kichwani nikawa najiuliza mbona anasisitiza hivi, ikumbukwe ni msichana mrembo sana na sikuwahi kuwa na hisia naye sababu nilikuwa ninamwona ona tu hapa kwa ndugu yake kwamba ni mtu ambaye hajatulia ila siyo mwongeaji na ukimwona ni mpolee but mambo yake ya chini chini,
Siku ya pili alianza kujitumisha message za (uko wapi, umekula, polee, nakutakia kazi njema babaa ), na nyinginezo nikahisi tu hapa kuna kitu, nikawa nachat naye kila siku mwisho akaja kuniambia kwamba ni miaka 10 imepita alikuwa ananipenda tangu kipindi hicho na bado hadi leo ananipenda na alishindwa tu kusema sababu hatukuwa na mazoea, me sikumuelewa nilimuitikia kuwa hata mimi nampenda ila sikuitilia maanani na akilini mwangi nikawa najiuliza, NAWEZAJE KUPENDWA NA (MALAYA) Mtanisamee kwa hili neno ila ni sababu huyu mtu ninamfahamu tabia zake, nikawa kila siki najiuliza huu ni MTEGO ama?
Maana sina pesa za kusema nitamshawishi anipende, alikuja kunielezea kwamba amepanga anakaa hapa hapa Dar es salaam sehem (___). Pia alikuwa na mwanaume walizaa ila mwanaume akamtelekeza hivyo sasa tangu mwaka jana amepanga anakaa pekeyake mtoto yuko kwa bibi yake Hapa mtaan anakuja maramoj moja tu kutembea.
SASA
Tunda amenipa na sio kwamba mimi niliforce ila yeye alitengeneza mazingira mwenyewe ili nile hapo siwezi kuongopa, alikuwa anaforce sanaa aje kwangi siku moja tulale nikawa namkatalia mwisho nikakubali, nikajipakilia.
SASA CHA AJABU MIMI HADI LEO SIAMINI KAMA HUYU MTU ANANIPENDA KWELI AMA KUNA MTEGO HAPA KATKAT??
NA KWA SASA TUKO TUNA MWEZI KWENYE HAYA MAHUSIANO
SWALI
1.Inawezekama malaya akaja kupenda na kutulia?
2.amenizidi miaka miwili hivyo ni mkubwa kwangu je hapa sipigwi na kitu kizito kweli?
Nahitaji msaada wenu wakuu mawazo yenu ndiyo yatakayonifanya nibaki au nitoke kwenye hiki kisima wakuu.
Shukran sanaa