Nasumbuliwa na Tonsils (Vidonda vya koo) visivyopona

Nasumbuliwa na Tonsils (Vidonda vya koo) visivyopona

pascal luoga

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2019
Posts
238
Reaction score
271
Habari wakuu natumai mu wazima

Dhumuni la mada hii ni kuwauliz kama kuna mtu aliyewai kukumbana na changamoto ninayopitia kwa sasa...

Iko hv.
Huu ni mwez wa 2 na siku dhaa kuelekea miez mitatu ninatatzo linanipa changamoto kwelikweli

- upande wa kulia wa pua huwa nasikia maumivu sana maeneo ya sinusis (ukishika pua yako mfupa wa katkat wa pua ukisogeza kidole chako pembeni kama unaacha eneo la pua na kuelekea chini ya jicho kuna mfupa umepita nikiwa na maana ukigusa jicho lako sehem yanapotokea machozi ukishusha kidole chini kuna mfupa umepita ambao ukigusa utaona mfupa umepita kuelekea eneo la chini la shavu)

-Maumiv makali eneo la juu ya mdomo hard palate (ukishika meno yako ya juu kwa ndani juu ya mdomo kuna mistari mistari imepita juu) maumivu huongezeka wakati nikiwa nimelala

- Tonsils (mafindo findo) niliyaona tangu january mwishoni baada ya kujiangalia maana hayaumi nilichokuja kugundua ni kwamba mpaka leo bado yapo na huwa hayana maumivi yyte pale ninapokula...*huwa yananitokeaga ila kwa siku 5 tu yanaondoka ila kwa sasa yana miez miwili yako vile vile..

NIMETUMIA dawa za hospital nyingi na bado sijaona mafanikio yoyote yale.

Kama kuna aliyewai pitia hii anipe muhafaka kuwa yeye alipona kwa njia gani..

Shukran wakuu
 
Mkuu,

Cheki kwa kupima hospitali kama ni bacterial infection upate antibiotics.

Kama si bacterial na ni viral infection
piga dozi kubwa sana ya vidonge vya vitamin C kama 1200mg kwa siku kwa wiki, halafu jicheki tena.

Kuna mtu alikuwa na mattizo hayo. Vitamin C ilikata kabisa.

Uzuri wa Vitamin C inasaidia sana ku boost immunity, halafu si dawa kama antibiotics ambazo zinahitaji kuandikiwa na daktari. Pia vitamin C haijengi toxicity jwa sababu ikizidi inayeyushwa na maji na kutoka katika mkojo.
 
Habari wakuu natumai mu wazima

Dhumuni la mada hii ni kuwauliz kama kuna mtu aliyewai kukumbana na changamoto ninayopitia kwa sasa...

Iko hv.
Huu ni mwez wa 2 na siku dhaa kuelekea miez mitatu ninatatzo linanipa changamoto kwelikweli

-;upande wa kulia wa pua huwa nasikia maumivu sana maeneo ya sinusis (ukishika pua yako mfupa wa katkat wa pua ukisogeza kidole chako pembeni kama unaacha eneo la pua na kuelekea chini ya jicho kuna mfupa umepita nikiwa na maana ukigusa jicho lako sehem yanapotokea machozi ukishusha kidole chini kuna mfupa umepita ambao ukigusa utaona mfupa umepita kuelekea eneo la chini la shavu)

:-Maumiv makali eneo la juu ya mdomo hard palate (ukishika meno yako ya juu kwa ndani juu ya mdomo kuna mistari mistari imepita juu) maumivu huongezeka wakati nikiwa nimelala

:- Tonsils (mafindo findo) niliyaona tangu january mwishoni baada ya kujiangalia maana hayaumi nilichokuja kugundua ni kwamba mpaka leo bado yapo na huwa hayana maumivi yyte pale ninapokula...*huwa yananitokeaga ila kwa siku 5 tu yanaondoka ila kwa sasa yana miez miwili yako vile vile..

NIMETUMIA dawa za hospital nyingi na bado sijaona mafanikio yoyote yale.

Kama kuna aliyewai pitia hii anipe muhafaka kuwa yeye alipona kwa njia gani..

Shukran wakuu
Nina ndugu yangu alishaugua hayo matonsis takribani mwaka mzima mpaka akahisi anaumwa kansa

Alitumia dawa nyingi mpaka za madokta lishe lakini hali ilizidi kuwa mbaya

Alikuja kupona kwa dawa ambayo huwezi hta kuidhania na dawa yenyewe ni tangawizi iliyomenywa unaichovya kwenye asali unaitafuna simpo.

Hakikisha kabla hujaitumia uwe umekula na kunywa maji ya kutosha ili usije ukaiondoa kooni ukinywa maji ni hivyo

Sijajua wewe iko serious kwa kiasi ila nakuhakikishia ndani ya wiki utakuwa umepona kabisa.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Nina ndugu yangu alishaugua hayo matonsis takribani mwaka mzima mpaka akahisi anaumwa kansa

Alitumia dawa nyingi mpaka za madokta lishe lakini hali ilizidi kuwa mbaya

Alikuja kupona kwa dawa ambayo huwezi hta kuidhania na dawa yenyewe ni tangawizi iliyomenywa unaichovya kwenye asali unaitafuna simpo.

Hakikisha kabla hujaitumia uwe umekula na kunywa maji ya kutosha ili usije ukaiondoa kooni ukinywa maji ni hivyo

Sijajua wewe iko serious kwa kiasi ila nakuhakikishia ndani ya wiki utakuwa umepona kabisa.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Sawa shukran mkuu
 
C hvyo.tudude vyeupe vyeupe vikitoka vinanuka mbaya huwa na mm yananisumbua
 
Ahsantee mkuu nitakutafuta nakumbuka kuna siku ulinipaga elimu kwenye uzi fulani.
Hivi kuna uhusiano wowote kati ya sehem za pua na hard palate?
Hakuna uhusiano wowote ule kati ya Sehemu za Pua na Hard Palate ni sehemu ya kinywa cha mdomo kwa juu ya kidaka tonge.

Where is the hard palate in the mouth?
The hard palate is located at the front of the roof of the mouth, and is comprised of two bones: the palatine bone and the maxilla, each of which are covered by soft tissue.

Hard Palate.jpg


HARD PALATE YA KINYWA .png
 
Hakuna uhusiano wowote ule kati ya Sehemu za Pua na Hard Palate ni sehemu ya kinywa cha mdomo kwa juu ya kidaka tonge.

Where is the hard palate in the mouth?
The hard palate is located at the front of the roof of the mouth, and is comprised of two bones: the palatine bone and the maxilla, each of which are covered by soft tissue.

View attachment 2170646

View attachment 2170648
Nilikuwa nina dalili zoote za sinutisis kasoro mafua sina ila pua zinaziba kwa kubadilisha ya kushoto na kulia kila baada ya muda uzibaji wake sio kama wa mafua makali ila nikwamba mpaka uzibe pua moja alaf ujaribu kupenga kwa hyo iliyobaki ndo unagundua imezba kwa mbali sana ila kupumua napumua bila shida yyte.nimedumu na sinutisis symptoms kama 2 month dawa hazikunisaidia , now days upande wa juu wa hard palate maeneo ya [palatine rugae] ile mistari ya hard palate nyuma ya frontal teeth ya upande wa kushoto ambao ndo huwaga ninapata sinutisis inanipa maumivu makali hasa nikiwa nimelala usiku maumivu huwa yanavuta, mda nikiwa nimekaa ndo ponea yangu ila kitendo cha kulaza kichwa ninale kiubavu ni kosa itaanza kuvuta sio kawaida pia kimuonekano huwaga nahisi kama imejaa visivyo kawaida. PICHA NIMEKUTUMIA INBOX
 
Nilikuwa nina dalili zoote za sinutisis kasoro mafua sina ila pua zinaziba kwa kubadilisha ya kushoto na kulia kila baada ya muda uzibaji wake sio kama wa mafua makali ila nikwamba mpaka uzibe pua moja alaf ujaribu kupenga kwa hyo iliyobaki ndo unagundua imezba kwa mbali sana ila kupumua napumua bila shida yyte.nimedumu na sinutisis symptoms kama 2 month dawa hazikunisaidia , now days upande wa juu wa hard palate maeneo ya [palatine rugae] ile mistari ya hard palate nyuma ya frontal teeth ya upande wa kushoto ambao ndo huwaga ninapata sinutisis inanipa maumivu makali hasa nikiwa nimelala usiku maumivu huwa yanavuta, mda nikiwa nimekaa ndo ponea yangu ila kitendo cha kulaza kichwa ninale kiubavu ni kosa itaanza kuvuta sio kawaida pia kimuonekano huwaga nahisi kama imejaa visivyo kawaida. PICHA NIMEKUTUMIA INBOX
Mkuu habari yako? Vp ulifanikiwa kupona?
 
Back
Top Bottom