Recent content by parcel

  1. parcel

    Mkoa gani hata ukipewa nyumba na gari hauwezi kuishi?

    Kweli kabisa Kaka haujapigwa na maisha, kama umepigwa kisawasawa usiombee utatamani kuishi hata pangoni.[emoji16][emoji16]
  2. parcel

    Walitumia nguvu kubwa kuwatisha watu juu ya chanjo, leo wanashangaa wananchi kuogopa chanjo

    Mie naona maarifa ya awali jinsi yalivyofubaza maarifa mapya kuwaingia, Endapo maarifa ya awali yangekuwa chanya nazani Jambo hili lisingetumia nguvu kubwa katika kulitekeleza,
  3. parcel

    Mpaka sasa Baada ya hizi nauli mpya na Tozo tunasemaje kuhusu Mama?

    Kweli beki hazikabi , Pia hata mafowadi nao mbona wanapoteza mpira kila wakipasiwa, Nazani viungo,walinzi WA Kati na WA pembeni wanapaswa kujiimarisha kwa kujinyumbua kwa umakini
  4. parcel

    Serikali imeamua kuua huduma za miamala ya simu

    Hakika tunaumia Sana,
  5. parcel

    Ajali Morogoro: Gari liliwekewa Mashada ya Maua na abiria waliomboleza ili kukwepa Doria ya Polisi

    Waliofariki tuwaombee kwa Allah wapunguziwe adhabu ya kaburi
  6. parcel

    Kwanini Ratiba ya Mazishi inabadilika badilika hovyo?

    Ina maana mpaka anatangaza pale mbele kifupi hakushuriana kabisa[emoji15][emoji15]
  7. parcel

    TMA yatabiri mvua mikoa sita

    Hapa iringa inanyesha muda huu mitaa ya mufindi
  8. parcel

    Show ya Diamond Platnumz yajaza watu 100,000 Sudan

    Nyie endeleeni kumjadili mtoto wa tandale, Mie ngoja niendelee kupambana na Hali yangu.
  9. parcel

    Maongezi vijana wa Tanzania; 96% ni pumba

    Mkuru umesema kweli, Ngoja nilifuatilie Kwa ukaribu[emoji3166][emoji3166]
  10. parcel

    Watoto waamini asili ya binadamu ni ipi?

    Asili ya binadamu Ni binadamu mwenyewe, Usinilazimishe niamini kuwa binadamu aliumbwa na mungu yaaani alitokana na udongo la hasha! Au binadamu alitokana na nyani(sokwe), Vyote tupa kule, Asili ya binadamu ni binadamu mwenyewe.
  11. parcel

    Ombi kwa wanaotaka wahitimu tujiajiri

    Kaka kunywa soda hapo Kwa mangi nitakulipia
  12. parcel

    Ubora wa Maji ya Kilimanjaro

    Maji yapo vile vile labda ulikuwa umetoka kunywa chang'aaa
Back
Top Bottom