Ubora wa Maji ya Kilimanjaro

Ubora wa Maji ya Kilimanjaro

Hivi ni mimi tu ndo nahisi haya maji yamepoteza ubora wake, maana siku hizi yamekuwa kama yana chumvi chumvi hivi, ile ladha nzuri ya zamani haipo tena.

Ni nini kimetokea katika brand hii kubwa nchini?
Ni kweli kabisa mie siku nyingi niliacha kuyatumia haya maji.
 
Maji yapo vile vile labda ulikuwa umetoka kunywa chang'aaa
 
Kilimanjaro ya sikuhizi yana chumvi, hata kiusalama pia sio mazuri. Sodium yao iko juu sana. Jifanyeni tu kutetea cha kwenu kwa kutaka sifa kumbe mnajikaanga wewnyewe na kinawaathiri taaratibu bila kujijua.
 
Hivi ni mimi tu ndo nahisi haya maji yamepoteza ubora wake, maana siku hizi yamekuwa kama yana chumvi chumvi hivi, ile ladha nzuri ya zamani haipo tena.

Ni nini kimetokea katika brand hii kubwa nchini?
Poleni kwa nyie mnywao haya maji yaliyojawa na LED, siyataki hata kuyasikia....unakunywa baada ya muda meno yote yenaoza na kuwa kama Mchagga halisi.
 
Ila hizo brands ulizozitaja, hazifikii kwa ubora wa maji ya Dew rop(Sumbawanga), Udizungwa(Moro) na Kipengere(Njombe kama sijakosea).
Maji Bora ni Maji ya Afya hayo mengine ni maji ya wahaya na wachaga.
 
Ila hizo brands ulizozitaja, hazifikii kwa ubora wa maji ya Dew rop(Sumbawanga), Udizungwa(Moro) na Kipengere(Njombe kama sijakosea).
maji hayo ya Afya ukinywa uta taka tena na tena.
 
Mbona maji bado yana ubora ule ule. Mleta mada jiangalie labda kipindi unakunywa maji ulitoka kuzama chumvini, domo lako bado lilikuwa na chembechembe za chumvi
Hahahahaha.....mweee....mnawaza nini jamani?
 
Hivi ni mimi tu ndo nahisi haya maji yamepoteza ubora wake, maana siku hizi yamekuwa kama yana chumvi chumvi hivi, ile ladha nzuri ya zamani haipo tena.

Ni nini kimetokea katika brand hii kubwa nchini?
Kweli kabisa yapo kama mkojo wa punda
 
Mbona maji bado yana ubora ule ule. Mleta mada jiangalie labda kipindi unakunywa maji ulitoka kuzama chumvini, domo lako bado lilikuwa na chembechembe za chumvi
Aiseee 😂🤣🤦🏽‍♂️
 
Maji ya Kilimanjaro sasa hivi yanatengenezewa hapa hapa Mjini Mikocheni. Hayaletwi tena kama zamani kutoka K'njaro na hii ilianza tangu mzee hajasepa. Maji yao siku hizi yana Chumvi
Inawezekana .nilikua naongea na jamaa hapa wanasema hivohivo yana chumvi
 
Hivi ni mimi tu ndo nahisi haya maji yamepoteza ubora wake, maana siku hizi yamekuwa kama yana chumvi chumvi hivi, ile ladha nzuri ya zamani haipo tena.

Ni nini kimetokea katika brand hii kubwa nchini?
Walitoa tenda na watu wengine kutengeneza.sio original Yale yalikuepo yanatok Moshi Mt Kilimanjaro Kwa mfano Mwanza kuna mtu anatengeneza ndio kilichosababisha kupoteva ubora wake ulikuwa unaaminika Kwa miaka mingi
 
Back
Top Bottom