Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 52,851
- 131,486
Hapo ndio unapokwama mzee, Jamaa kakuambia umchambulie kwa njia isiyo ya kisomi we unamhubiriaNikumegee siri mkuu, ukimwamini Mungu kwa Imani yako na kushika amri zake inalipa sana. Ninashuhudia binafsi!
Kumwamini Mungu na kumtegemea haina maana kwamba hutopata misukosuko ya Maisha. Yenyewe itakuja Ila utabaki imara mara zote.