Recent content by Paradoxer

  1. Paradoxer

    Licha ya Tanzania kutajwa kuwa na Viwanda 28,000 ila hatumo kwenye orodha ya Nchi 10 Za Viwanda Africa. Tumezidiwa na Zambia, Tunisia n.k

    Upishi wa takwimu, ni tatizo hii nchi. Sina imani na takwimu yoyote ile ndani ya hii nchi. hawaweki exact namba na wala wanazoweka haziendani na ukweli hata kidogo.
  2. Paradoxer

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wengine hatuijui kabisaaa, unatushauri tubetije!?!?
  3. Paradoxer

    Gharama za kufunga Drip kwa ekari (70mx70m)

    Spacing ya zao lako ikoje!!? Lazima ujue hilo ili ujue drip utanunua ya spacing ipi!??? Kisha ujue utapanda miche mingapi, hapo ndo utajua jumla ya urefu wa drip system. Baada ya hapo ndio tutakuja kwenye mahesabu ya ukubwa wa kiwanja ili ujue utaitandaza vip hyo system.!! Usiogope...
  4. Paradoxer

    Gharama za kufunga Drip kwa ekari (70mx70m)

    Namna gani hyo kiongozi!?
  5. Paradoxer

    Wakuu, leo nimeongeza mpiga kura mwigine

    Siti ya mamelodi hapa
  6. Paradoxer

    Ni nyimbo gani unaipenda ila huwezi sikiliza mbele ya watu

    Dr Ringding-the needle
  7. Paradoxer

    Jielimishe kuhusu Israel na vita zinazomzunguka

    nijuavyo mimi, ni kuwa alimchungulia yaani (kumuona) utupu wake, ndio maana ndugu zake walichukua nguo wakaenda kinyumenyume wakamfunika. nadhan unachosemea wewe ni kitu tofaut mkuu.
  8. Paradoxer

    Biblia ina majibu yote, tuisome kwa bidii

    anaejua huu mstari ulipo kwenye biblia anijuze nami niikajisomee "kwanini wanachuja mbu na kumeza ngamia" hii ndo mara ya kwanza najionea huu.
  9. Paradoxer

    Jielimishe kuhusu Israel na vita zinazomzunguka

    hii naifaham, nilipouliza ni sehemu ipi inayoonyosha canaan kufanya hcho kitendo. nataka nikapasome mkuu, sio kwamba napingana na kitendo hicho kuwa cha makosa, kadhalika ndio sababu ya reuben kuondolewa haki ya mzaliwa wa kwanza, pia kuna mtoto wa daudi aliuwawa kwa amri ya sulemani kwa kosa...
  10. Paradoxer

    Jifunze silaha kuu tano (5) za ulimwengu wa kiroho ili upate ushindi kwenye kila jambo

    duuh, nasubir hizo shuhuda. usiache kutujenga kiimani ambao bado tuko chini.
  11. Paradoxer

    Jifunze silaha kuu tano (5) za ulimwengu wa kiroho ili upate ushindi kwenye kila jambo

    huu ushuhuda umeenda nao mbio sana, tulia andika kwa details zaidi tupate kujengwa na huu.
  12. Paradoxer

    Jielimishe kuhusu Israel na vita zinazomzunguka

    mkuu hapo kwa canaan kutembea na mke wa nuhu naomba maandiko tafadhali.
Back
Top Bottom