Recent content by Papy ndombe

  1. P

    Sheria inasemaje ikiwa mkuu wa kanisa akijihusisha na siasa, au ni double standard?

    Dini na siasa zote udili na watu. Siasa ni maisha ya KILA siku ikiwemo dini.
  2. P

    Serikali tumieni kodi ya nyumba ku-discourage ujenzi holela wa makazi na vibanda

    Hayo mambo waliweza wakoloni sie ni shaghala baghala tu mwisho wa sebule yako ni mwanzo wa chumba cha mwingine
  3. P

    Naomba kufahamu wasifu wa Aron Kagurumujuli, Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni

    Huyu ana damu ya aquiline ndo chanzo cha kifo chake
  4. P

    Mkurugenzi Kinondoni Ukiendelea kutumika itakugharimu

    Ndo yule wa aquiline hama
  5. P

    Hoteli ya Mgonja? Parrot Hotel

    Vipi ujenzi ulikwisha
  6. P

    Swali kwa Tundu Lissu: Kama Corona ipo Tanzania, kwanini toka alipoingia Tanzania na kipindi chote cha kampeni miezi mitatu hakuvaa Barakoa?

    Nani kakwambia ukivaa barakoa ndo upo safe.Ishu ya corona utegemeana na ustrong wa Kinga zako za mwili
  7. P

    Moshi: Mkandarasi atoa wiki 1 kwa Serikali kumlipa fedha zake zaidi ya Bilioni 1

    Haki ya mtu aipotei hata kwa maagizo.Umeingia mkataba na serikali na sio mtu
  8. P

    Rafiki yangu alitaka Tufe, Dereva wa Lorry akakubaliana naye, Mungu akamtumia Dereva mwingine Kutuokoa

    Pana jamaa walikuwa na v8 wameovertake semitrela wamefika kwenye cabin mbele linakuja semi wangu wangu wakaingia kushoto mbele cabin ya semi wanayoovertake ile wameovertake semi A kuingia kushoto Ile kukwepa semi B ya inayokuja.Semi A ikawapush kwa nyuma semi B ikaja wakandamiza kwa mbele yaani...
  9. P

    Lazaro Mambosasa aondolewe Dar es Salaam

    Sio rahisi bila maagizo
Back
Top Bottom