Habari wanajukwaa.
Mimi ninalima mazao kwa mfumo wa kutumia mbolea za asili, situmii mbolea za kisasa. Ninalima katika Green House na Open Farm.
Kwasasa mazao yangu yanakaribia kuwa tayari yaani kukomaa..
Ninatarajia kuanza kuuza Matango, Bamia, Nyanya, Hoho Nyekundu, Mapapai n.k
Ninatafuta...