Ndugu wana jamvi kwa muda mrefu ukianzia na nyomi/mafuriko ya wananchi wanaowaunga Ukawa siku ya Mgombea wao alipoenda kuchukua fomu tume ya uchaguzi, na mpaka sasa. Kumekua na kauli kuanzia kutoka kwa mwenyekiti wa ccm na wanaccm wengine na jana tumemsikia Emmanuel Nchimbi kua, siyo picha...
Kumchagua JK kama rais wao, ni kosa kubwa watanzania walifanya ambalo litawagharimu wa Tanzania kwa miaka mingi ijayo. JK is the most myopic president I had ever seen in all my life. SHAME ON HIM
Basata wamefanya kitu cha maana. Kuna siku niliamua nitumie kama dk 30 kuangalia shoo mbali mbali za Shilole kupitia youtube sijaona kitu chochote cha maana zaidi ya stlye za kungonoka. Ambazo kwa wenzetu wanazifanyia kwenye Adult Entertsainment Clubs
Mwambie huyo buyer atume detailed letter of intent to Tanbiz Export & Trade Ltd sisi ni broker ila 20% inabidi usahau is too much kumbuka ata sisi ni middlemen we need commission.
Jacline1 acha kuandika utumbo ni nani aliekuroga kua mamvi anapendwa na wengi? Akili kubwa inapojadili mambo ya maana, wewe chukua kopo uelekee maliwatoni manina zako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.