Acheni kufanya watu ni wajinga, Huo upumbavu akamweleze marehem mama yake. Huogopi hata kujifananisha na nyerere. Au nae alikuwa na Hummer. Ndio maana umeshindwa kuoa .
Viongozi wetu waache arguments za kitoto na zisizo na mashiko hata kidogo; eti suala liko Mahakamani!!
Wakati tumefungua shauri la Katiba na mteja wangu Saed Kubenea, Bunge Maalum la Katiba (ambalo kisheria na kimantiki lina sifa zote za ki-Bunge) siyo tu lilijadili masula yanayohusu kile...
INAUMA SANA,japo wanasema ukiwa safarini haupaswi kuwaulizia njia unaokwenda nao bali wanaotoka huko uendako bt sometimes napata mashaka na majibu nitayopewa.
mwaka 2010, sebastian kasinge aliyeteuliwa kugombea ubunge jimbo la mpanda mashariki, alikwama kuwania nafasi hiyo. Kisa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.